SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam
Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.
Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.
Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?
Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?
Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.
Website hii hapa:
Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic
Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.
Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.
Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?
Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?
Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.
Website hii hapa:
Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic