Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Tangu mwishoni mwa mwaka jana,Ruwaichi aliteuliwa na pope kua askofu mwandamizi wa jimbo kuu la dsm.

Kua askofu mwandamizi kunampa mamlaka sawa na ya askofu mkuu wa jimbo na kua askofu mwandamizi ina maanisha yeye ndiye atakayechukua nafasi ya aliepo pindi aliyepo muda wake utakapoisha kwa kuzingatia umri wa kustaafu(miaka 75) au kustaafu kutokana na kushindwa kufanya majukumu sababu ya maradhi.

Pengo anakaribia umri wa kustaafu ama amefikia pia ni mgonjwa,kwa maana hiyo askofu ni Ruwaichi hivyo ndio imepelekea ulichokiona kwenye website.

Kwa ufahamu wangu mdogo,ndio hivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu nipe majina ya maaskofu waliofikisha miaka 75 wakafanyiwa anayofanyia Pengo sasa hivi.
 
Pengo kapimzishwa baada ya kutofautiana na baraza kuhusiana na Waraka wa Pasaka.
 
Pengo = mpigadebe wa com

PENGO = KADA MTIIFU WA CCM

Pengo = hakuheshimu waumini wala utume wake

Pengo.....mnafiki

Kweli Pengo Muadhama Kardinali alikuwa mtu mmoja mkabila na mkanda japo alininyima kuwa Padri lakini siwezi kumjadili kama ulivyo mjadili hivi. Ka weye ni mkatoliki mwenzangu, lazima una lako jambo sio bure. Samehe
 
Itachukua Miongo kadhaa Wafipa kupata Tena Madaraka makubwa Baada ya Mizengo Pinda Na Kardinal Pengo
Pengo alikuwa Na Hikma Sana
Pengo alikua na hekima mkuu? Huo ujasir wa kusena hivy unatoa wapi? Ok tuyaache tu hayo
 
Tangu mwishoni mwa mwaka jana,Ruwaichi aliteuliwa na pope kua askofu mwandamizi wa jimbo kuu la dsm.

Kua askofu mwandamizi kunampa mamlaka sawa na ya askofu mkuu wa jimbo na kua askofu mwandamizi ina maanisha yeye ndiye atakayechukua nafasi ya aliepo pindi aliyepo muda wake utakapoisha kwa kuzingatia umri wa kustaafu(miaka 75) au kustaafu kutokana na kushindwa kufanya majukumu sababu ya maradhi.

Pengo anakaribia umri wa kustaafu ama amefikia pia ni mgonjwa,kwa maana hiyo askofu ni Ruwaichi hivyo ndio imepelekea ulichokiona kwenye website.

Kwa ufahamu wangu mdogo,ndio hivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli ulichoandika Pengo anatoka madarakani huo niutaratibu unafanyika kwaajili ya kumuidhinisha Ruwaichi kushika madaraka ya juu ktk Kanisa Katoliki Tanzania, wanaanza kumwondoa kwenye maamuzi ya kikanisa taratibu mpaka muda walioupanga ukifika basi atapumzika kazi nyingi za kikanisa na atabiakia nancheo cha Kadinali mstaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hikma Na Hekima Ni tofauti ya lugha sio ya Imani

Hakuna Imani yenye lugha yake Maalum
Matamshi yanamfanya mtu kumtofautisha na mwengine hata Urdu na Hindi zinatouti katika matamshi wewe kuita Hikma badala ya Hekima imeshakutambulisha imani yako ni ipi..
 
Nikweli ulichoandika Pengo anatoka madarakani huo niutaratibu unafanyika kwaajili ya kumuidhinisha Ruwaichi kushika madaraka ya juu ktk Kanisa Katoliki Tanzania, wanaanza kumwondoa kwenye maamuzi ya kikanisa taratibu mpaka muda walioupanga ukifika basi atapumzika kazi nyingi za kikanisa na atabiakia nancheo cha Kadinali mstaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina dukuduku hapa. Kwa nini aondolewe kwenye website wakati bado ni askofu mkuu wa jimbo?Maana ukiangalia website ya jimbo picha ni za askofu Ruwaichi tu na hata pale anapoonekana Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ni katika kumwonyesha siku ya mapokezi ya Ruwaichi ilivyokuwa.

Je kesho kanuni ya misa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hatatajwa?

Je ukiwa mwandamizi husimikwi tena? Maana siku ile askofu mkuu ruwaichi aliwafanyiwa misa ya mapokezi tu ila hakusimikwa maana hakukalia Kiti cha jimbo yaani CATHEDRA.

REJEA KUSIMIKWA KWA ASKOFU MKUU FRIDOLIN AMBONGO OFM cap jimbo la Kinshasa baada ya kustaafu Mwadhama Mwonsengo Pasinya (78) miezi takribani mitatu au minne iliyopita.
 
Kweli Pengo Muadhama Kardinali alikuwa mtu mmoja mkabila na mkanda japo alininyima kuwa Padri lakini siwezi kumjadili kama ulivyo mjadili hivi. Ka weye ni mkatoliki mwenzangu, lazima una lako jambo sio bure. Samehe

Call a spade by its name
 
Back
Top Bottom