Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

.
Screenshot_20190324-084258.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli Pengo Muadhama Kardinali alikuwa mtu mmoja mkabila na mkanda japo alininyima kuwa Padri lakini siwezi kumjadili kama ulivyo mjadili hivi. Ka weye ni mkatoliki mwenzangu, lazima una lako jambo sio bure. Samehe
Kumbe hata ndani ya KANISA kuna ukabila(ubaguzi),basi si ajabu kwa hayo aliyoyasema@adolay kuwa ni kweli.
Na kama ni kweli,ana haki ya kuyasema na hata kumsema,kwa maana siamini kama ukristo unakubaliananayo.
 
Wewe ni muislamu wakristo hawanaga neno hikma bali ni hekima
Kuna shida muislam kama mimi kuchangia jukwaani?,au shida ni kutumia neno hilo?kuna maana gani kusema "wewe ni muislamu"wakati mwenzio hapo@adolay anashangaa mambo ya ubaguzi kama wako,ni muathirika wa ndoto yake kwa ubaguzi.
 
SWALi HILI SIJATARAJIÀ LITATOKÀ KWA MUUMINI WA KIROMA

HATA TULIO NJE TUNAJUA ASKOFU JUDE NDIE MRITHI WA ASKOFU PENGO

NA KUTOKANA NA AFYA YAKE HATOWEZA KUENDELEA TENÀ NA MAJUKUMU YAKE......


SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam

Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.

Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.

Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?

Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?

Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.

Website hii hapa:

Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic
 
SWALU HILI SIJATARAJIÀ LITATOKÀ KWA MUUMINI WA KIROMA

HATA TULIO NJE TUNAJUA ASKOFU JUDE NDIE MRITHI WA ASKOFU PENGO

NA KUTOKANA NA AFYA YAKE HATOWEZA KUENDELEA TENÀ NA MAJUKUMU YAKE......

Jibu, swali, je amerithi lini?
 
MPWA HUYU ALIEULIZA SWALI ATAKUWA DINI YA ...KWA MROMAN WANAELEWA FIKA KINACHOENDELEA ..
Tangu mwishoni mwa mwaka jana,Ruwaichi aliteuliwa na pope kua askofu mwandamizi wa jimbo kuu la dsm.

Kua askofu mwandamizi kunampa mamlaka sawa na ya askofu mkuu wa jimbo na kua askofu mwandamizi ina maanisha yeye ndiye atakayechukua nafasi ya aliepo pindi aliyepo muda wake utakapoisha kwa kuzingatia umri wa kustaafu(miaka 75) au kustaafu kutokana na kushindwa kufanya majukumu sababu ya maradhi.

Pengo anakaribia umri wa kustaafu ama amefikia pia ni mgonjwa,kwa maana hiyo askofu ni Ruwaichi hivyo ndio imepelekea ulichokiona kwenye website.

Kwa ufahamu wangu mdogo,ndio hivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengo walishamfyatua siku nyingi,siku hizi haruhusiwi kutoa kauli kwa niaba ya kanisa labda kuhusu ugonjwa wake tu.
Hahahaaaaaaaa na urithi wakes HIVI malizao wanarithi kinananiiii naulizatu
 
SWALi HILI SIJATARAJIÀ LITATOKÀ KWA MUUMINI WA KIROMA

HATA TULIO NJE TUNAJUA ASKOFU JUDE NDIE MRITHI WA ASKOFU PENGO

NA KUTOKANA NA AFYA YAKE HATOWEZA KUENDELEA TENÀ NA MAJUKUMU YAKE......
Je ndo aachie madaraka kimyakimya? Refer case ya kustaafu kwa Askofu mkuu wa jimbo kuu la Kinshasa Mwadhama Laurent kardinali Mwonsengo pasinya na kusimikwa na kuwekwa kwenye Kiti askofu mkuu mwandamizi FRIDOLIN AMBONGO OFM Cap
Screenshot_20190324-093050.png
 
HIVI MAFAOOO YAKE ANATAFUNA NANI JAMANI HYAA NDIOO MAMBOO YA MAANA KUJADILIANA KAMA KUNAITAJIKA KAMATI HUMU IUNDWE TUKAANGALIE KAMA ANAWEZA ISAPOT JF TUKAPOKEA MAFAO YAKE ....
 
Je ndo aachie madaraka kimyakimya? Refer case ya kustaafu kwa Askofu mkuu wa jimbo kuu la Kinshasa Mwadhama Laurent kardinali Mwonsengo pasinya na kusimikwa na kuwekwa kwenye Kiti askofu mkuu mwandamizi FRIDOLIN AMBONGO OFM CapView attachment 1052717

Huu ndiyo utamu wa JF kuwa na watu kama wewe na siyo mbumbumbu wengine. Wote wanaojibu humu ni wababaishaji, hawataji siku ambayo Ruwa'Ichi ame-succeed jimbo na lini Pengo katumbuliwa.
 
Back
Top Bottom