Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Kama ni hivyo basi picha ingeondolewa anapofikisha miaka 75 na tungetangaziwa.
Kumbe mkuu una majibu yako tayari ,maana umesema hujui,eumejulishwa hutaki kukubali.
Jibu alilokuoa jamaa ndo sahihi.

Sent using Brain
 
Gabriel mmole alikuwa na miaka 76.7 hivyo umri wa kustaafu ulikuwa umezidi maana ni miaka 75

Emmanuel matunda alikuwa na umri wa miaka 75.2 hivyo umri ulikuwa tayari

Jacob venance Koda alilazimishwa kustaafu na Vatican walitoa statement ya kustaafisha kuwa ni kwenda kinyume na utume wake.

Askofu mkuu Cardinal Pengo bado hajafikisha miaka 75. Sawa tuseme ugonjwa ni kweli na wala siyo uongo kuhusu kuteteleka kwa afya yake.Je ni kwa nini aondolewe kwenye website ya jimbo bila Waumini wake kuambiwa?
Alipowekwa kwnye website waumini hatukuambiwanalaf ni minor issuea hizi mkuu,
As long tunajua mda tu majukum yake yanapunguzwa taratibu na mrithi wake ypo tayari kitambo,No problem.

Sent using Brain
 
Kumbe mkuu una majibu yako tayari ,maana umesema hujui,eumejulishwa hutaki kukubali.
Jibu alilokuoa jamaa ndo sahihi.

Sent using Brain
Imetangazwa lini? Pengo siyo wa kuondolewa kimyakimya na Ruwa'Ichi kawa Askofu Mkuu lini wakati hiyo siku alikuwa Askofu Mkuu Mwandamizi?
 
Alipowekwa kwnye website waumini hatukuambiwanalaf ni minor issuea hizi mkuu,
As long tunajua mda tu majukum yake yanapunguzwa taratibu na mrithi wake ypo tayari kitambo,No problem.

Sent using Brain

Siy minor issue na ndiyo maana nimeuliza na ndiyo maana hii thread imefikisha watu zaidi ya 3000 wanaisoma.

Mtu mmoja katoa mfano mzuri wa Kinshasa, Zaire. Twende kwenye ukweli.
 
Kumbe hata ndani ya KANISA kuna ukabila(ubaguzi),basi si ajabu kwa hayo aliyoyasema@adolay kuwa ni kweli.
Na kama ni kweli,ana haki ya kuyasema na hata kumsema,kwa maana siamini kama ukristo unakubaliananayo.
Usimhukumu mtumishi wa Mungu
 
SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam

Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.

Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.

Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?

Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?

Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.

Website hii hapa:

Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic
Kwa mujibu wa kanuni za Kanisa Katoliki Askofu wa Jimbo akitimiza umri wa miaka 75 anapaswa kumwandikia Askofu wa Roma (Pope) kumwomba kustaafu uongozi wa jimbo na hivyo kumpa nafasi kumteua mtu mwingine kushika nafasi hiyo.
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo atatimiza miaka 75 mwezi August 2019 lakini kwa maoni yangu Vatican wameishateua mrithi wake ambaye ni Mkapuchini Askofu Mkuu Yuda Thadei Ruwaichi (Ofcap).
Kwa wafuatiliaji wa ukatoliki Tanzania hili lilitarajiwa. Haya ni maoni yangu. Niishie hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa kanuni za Kanisa Katoliki Askofu wa Jimbo akitimiza umri wa miaka 75 anapaswa kumwandikia Askofu wa Roma (Pope) kumwomba kustaafu uongozi wa jimbo na hivyo kumpa nafasi kumteua mtu mwingine kushika nafasi hiyo.
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo atatimiza miaka 75 mwezi August 2019 lakini kwa maoni yangu Vatican wameishateua mrithi wake ambaye ni Mkapuchini Askofu Mkuu Yuda Thadei Ruwaichi (Ofcap).
Kwa wafuatiliaji wa ukatoliki Tanzania hili lilitarajiwa. Haya ni maoni yangu. Niishie hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Miaka 75 ni kigezo finyu ambao wote wakikitaja lazima wawe bubu wakiulizwa maswali zaidi. Maaskofu wote hufikisha miaka 75, mbona wengi tu hawaletewi? Muwe mnajibu hilo nyinyi washabiki wa hii hoja ya miaka 75.
 
SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam

Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.

Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.

Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?

Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?

Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.

Website hii hapa:

Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic
Mimi nimesali leo na Cardinal Pengo ametajwa kama Askofu mkuu wa Dar es Salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mk
Miaka 75 ni kigezo finyu ambao wote wakikitaja lazima wawe bubu wakiulizwa maswali zaidi. Maaskofu wote hufikisha miaka 75, mbona wengi tu hawaletewi? Muwe mnajibu hilo nyinyi washabiki wa hii hoja ya miaka 75.
Mkuu kumbe unamajibu unayo yataka na hutaki kueleweshwa,Wakatoliki wa jimbo la Dar asilimia kubwa tulikua tunajua Baba kadinali akifikisha miaka 75 atastaafu na anafikisha miaka hiyo August2019 na hata mwenyewe alishaongea huko nyumba,hata alivyokuja Luwaichi tulijua ndio atakua askofu mkuu wa jimbo ni taratibu tu zinazosubiriwa na mwezi wa august ufike kadinali astaafu
 
Nikweli ulichoandika Pengo anatoka madarakani huo niutaratibu unafanyika kwaajili ya kumuidhinisha Ruwaichi kushika madaraka ya juu ktk Kanisa Katoliki Tanzania, wanaanza kumwondoa kwenye maamuzi ya kikanisa taratibu mpaka muda walioupanga ukifika basi atapumzika kazi nyingi za kikanisa na atabiakia nancheo cha Kadinali mstaafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rwaichi atakuwa na madaraka jimbo kuu DSM na siyo Tanzania yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mk
Mkuu kumbe unamajibu unayo yataka na hutaki kueleweshwa,Wakatoliki wa jimbo la Dar asilimia kubwa tulikua tunajua Baba kadinali akifikisha miaka 75 atastaafu na anafikisha miaka hiyo August2019 na hata mwenyewe alishaongea huko nyumba,hata alivyokuja Luwaichi tulijua ndio atakua askofu mkuu wa jimbo ni taratibu tu zinazosubiriwa na mwezi wa august ufike kadinali astaafu


Usipende kujikita kwenye hoja ya miaka itakushinda kama inavyokushinda. Unamtaja Pengo kustaafu hebu nipe sababu basi kwanini wafuatao hawakupewa waandamizi na miaka yao ya kustaafu hiyo kwenye mabano. Msipende siasa na porojo katika kila jambo.

01: Joseph Kilasara, (Age, 50.5), (Diocese, Moshi), (Year, 1966)
02: Jacob Koda, (Age, 52.3), (Diocese, Same), (Year, 2010)
03: Placidus Nkalanga, (Age, 54.4), (Diocese, Bukoba), (Year, 1973)
04: Eugéne Arthurs, (Age, 55.6), (Diocese, Tanga), (Year, 1969)
05: Fortunatus Lukanima, (Age, 57.6), (Diocese, Arusha), (Year, 1998)
06: Bernhard Hilhorst, (Age, 57.9), (Diocese, Morogoro), (Year, 1953)
07: James Holmes-Siedle, (Age, 59.1), (Diocese, Kigoma), (Year, 1969)
08: Herman Elswijk, (Age, 61.6), (Diocese, Morogoro), (Year, 1966)
09: John Rudin, (Age, 62.1), (Diocese, Musoma), (Year, 1979)
10: Arnold Ralph Cotey, (Age, 62.4), (Diocese, Nachingwea), (Year, 1983)
11: Patrick Winters, (Age, 62.7), (Diocese, Mbulu), (Year, 1971)
12: Maurus Komba, (Age, 65), (Diocese, Tanga), (Year, 1988)
13: Dennis Vincent Durning, (Age, 65.8), (Diocese, Arusha), (Year, 1989)
14: Adriani Mkoba, (Age, 66.7), (Diocese, Morogoro), (Year, 1992)
15: Christopher Mwoleka, (Age, 69.2), (Diocese, Rulenge), (Year, 1996)
16: Edward Aloysius, (Age, 69.6), (Diocese, Shinyanga), (Year, 1975)
17: Renatus Butibubage, (Age, 69.6), (Diocese, Mwanza), (Year, 1987)
18: Nicodemus Hhando, (Age, 70.9), (Diocese, Mbulu), (Year, 1997)
19: Cornelius Sambeek, (Age, 71.5), (Diocese, Kigoma), (Year, 1957)
20: Raymond Mwanyika, (Age, 72.4), (Diocese, Njombe), (Year, 2002)
 
Facts kama hizi Magilapeak na timu yake hawana uwezo wa kuzijibu. Ni kukimbia tu.

Usipende kujikita kwenye hoja ya miaka itakushinda kama inavyokushinda. Unamtaja Pengo kustaafu hebu nipe sababu basi kwanini wafuatao hawakupewa waandamizi na miaka yao ya kustaafu hiyo kwenye mabano. Msipende siasa na porojo katika kila jambo.

01: Joseph Kilasara, (Age, 50.5), (Diocese, Moshi), (Year, 1966)
02: Jacob Koda, (Age, 52.3), (Diocese, Same), (Year, 2010)
03: Placidus Nkalanga, (Age, 54.4), (Diocese, Bukoba), (Year, 1973)
04: Eugéne Arthurs, (Age, 55.6), (Diocese, Tanga), (Year, 1969)
05: Fortunatus Lukanima, (Age, 57.6), (Diocese, Arusha), (Year, 1998)
06: Bernhard Hilhorst, (Age, 57.9), (Diocese, Morogoro), (Year, 1953)
07: James Holmes-Siedle, (Age, 59.1), (Diocese, Kigoma), (Year, 1969)
08: Herman Elswijk, (Age, 61.6), (Diocese, Morogoro), (Year, 1966)
09: John Rudin, (Age, 62.1), (Diocese, Musoma), (Year, 1979)
10: Arnold Ralph Cotey, (Age, 62.4), (Diocese, Nachingwea), (Year, 1983)
11: Patrick Winters, (Age, 62.7), (Diocese, Mbulu), (Year, 1971)
12: Maurus Komba, (Age, 65), (Diocese, Tanga), (Year, 1988)
13: Dennis Vincent Durning, (Age, 65.8), (Diocese, Arusha), (Year, 1989)
14: Adriani Mkoba, (Age, 66.7), (Diocese, Morogoro), (Year, 1992)
15: Christopher Mwoleka, (Age, 69.2), (Diocese, Rulenge), (Year, 1996)
16: Edward Aloysius, (Age, 69.6), (Diocese, Shinyanga), (Year, 1975)
17: Renatus Butibubage, (Age, 69.6), (Diocese, Mwanza), (Year, 1987)
18: Nicodemus Hhando, (Age, 70.9), (Diocese, Mbulu), (Year, 1997)
19: Cornelius Sambeek, (Age, 71.5), (Diocese, Kigoma), (Year, 1957)
20: Raymond Mwanyika, (Age, 72.4), (Diocese, Njombe), (Year, 2002)

Mk
Mkuu kumbe unamajibu unayo yataka na hutaki kueleweshwa,Wakatoliki wa jimbo la Dar asilimia kubwa tulikua tunajua Baba kadinali akifikisha miaka 75 atastaafu na anafikisha miaka hiyo August2019 na hata mwenyewe alishaongea huko nyumba,hata alivyokuja Luwaichi tulijua ndio atakua askofu mkuu wa jimbo ni taratibu tu zinazosubiriwa na mwezi wa august ufike kadinali astaafu
 
Back
Top Bottom