Mk
Mkuu kumbe unamajibu unayo yataka na hutaki kueleweshwa,Wakatoliki wa jimbo la Dar asilimia kubwa tulikua tunajua Baba kadinali akifikisha miaka 75 atastaafu na anafikisha miaka hiyo August2019 na hata mwenyewe alishaongea huko nyumba,hata alivyokuja Luwaichi tulijua ndio atakua askofu mkuu wa jimbo ni taratibu tu zinazosubiriwa na mwezi wa august ufike kadinali astaafu
Usipende kujikita kwenye hoja ya miaka itakushinda kama inavyokushinda. Unamtaja Pengo kustaafu hebu nipe sababu basi kwanini wafuatao hawakupewa waandamizi na miaka yao ya kustaafu hiyo kwenye mabano. Msipende siasa na porojo katika kila jambo.
01: Joseph Kilasara, (Age, 50.5), (Diocese, Moshi), (Year, 1966)
02: Jacob Koda, (Age, 52.3), (Diocese, Same), (Year, 2010)
03: Placidus Nkalanga, (Age, 54.4), (Diocese, Bukoba), (Year, 1973)
04: Eugéne Arthurs, (Age, 55.6), (Diocese, Tanga), (Year, 1969)
05: Fortunatus Lukanima, (Age, 57.6), (Diocese, Arusha), (Year, 1998)
06: Bernhard Hilhorst, (Age, 57.9), (Diocese, Morogoro), (Year, 1953)
07: James Holmes-Siedle, (Age, 59.1), (Diocese, Kigoma), (Year, 1969)
08: Herman Elswijk, (Age, 61.6), (Diocese, Morogoro), (Year, 1966)
09: John Rudin, (Age, 62.1), (Diocese, Musoma), (Year, 1979)
10: Arnold Ralph Cotey, (Age, 62.4), (Diocese, Nachingwea), (Year, 1983)
11: Patrick Winters, (Age, 62.7), (Diocese, Mbulu), (Year, 1971)
12: Maurus Komba, (Age, 65), (Diocese, Tanga), (Year, 1988)
13: Dennis Vincent Durning, (Age, 65.8), (Diocese, Arusha), (Year, 1989)
14: Adriani Mkoba, (Age, 66.7), (Diocese, Morogoro), (Year, 1992)
15: Christopher Mwoleka, (Age, 69.2), (Diocese, Rulenge), (Year, 1996)
16: Edward Aloysius, (Age, 69.6), (Diocese, Shinyanga), (Year, 1975)
17: Renatus Butibubage, (Age, 69.6), (Diocese, Mwanza), (Year, 1987)
18: Nicodemus Hhando, (Age, 70.9), (Diocese, Mbulu), (Year, 1997)
19: Cornelius Sambeek, (Age, 71.5), (Diocese, Kigoma), (Year, 1957)
20: Raymond Mwanyika, (Age, 72.4), (Diocese, Njombe), (Year, 2002)