SOURCE:
Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam
Nimeshtushwa kuondoloewa kwa
Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.
Ukiisoma inaonyesha
Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye
Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na
Eusebius Nzigilwa ni
Askofu Msaidizi.
Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?
Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?
Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.
Website hii hapa:
Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic