Domaradzka
Senior Member
- Apr 19, 2016
- 135
- 168
Wa dodoma ni ASKOFU MKUU Beatus kinyaiya OFMcapMimi siyo mkatoliki lakini huyo askofu namsikilizaga sana... ni mzungumzaji mzuri, hachoshi ukimsikiliza. Mwingine ni yule wa dodoma sijui anaitwa nani ila hao jamaa ni wazuri sana kwenye kuzungumza.
Hebu nisaidie vifupisho na mashirika yao mfano OFMcap tafadhariWa dodoma ni ASKOFU MKUU Beatus kinyaiya OFMcap
Basi wamekuwa wasikivu na tukushukuru kwa kuwaamsha! na sasa website ipo kama ilivyokuwa kabla hawajafanya yao!!Wakati uzi huu unaandikwa alikuwa ameondolewa kwenye website View attachment 1054413View attachment 1054414
Ordo Fratrum Minorum - Capucchinorum
Ahsante sana,je mashirika mengine unaweza tusaidia tusio na upeo nayo vifupisho na urefu wake?Ordo Fratrum Minorum - Capucchinorum
In English order of Friars of Minor capuchin
In Swahili Shirika la ndugu wadogo wa mtakatifu Francisco
IMC means Consolata Missionaries Institute
True, hii imemcost sana, Kardinali amefanya kazi nzuri, miaka nenda rudi, ukimya ungemsaidia wakati ule, but maji yakishamwagika........Alitaka kupoteza heshima yake kwa kujifanya kada
Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.Kama ni hivyo basi picha ingeondolewa anapofikisha miaka 75 na tungetangaziwa.
Itachukua Miongo kadhaa Wafipa kupata Tena Madaraka makubwa Baada ya Mizengo Pinda Na Kardinal Pengo
Pengo alikuwa Na Hikma Sana
Kingereza chako sikielewi.
Kadinali hastaafu kwa umri. Hutumbuliwa.An
Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.
Umeandika nini?Kadinali hastaafu kwa umri. Hutumbuliwa.
Ni hodari ktk uenjilisti na ni shujaa wa kukemea bila kujali ukubwa wa mtu.Ktk Biblia namfananisha na Yohane Mbatizaji. Pengo ana tabia ya kusoma upepo na alikuwa na uanasiasa mno.Unamkubali kuliko pengo ?
Muwe mnafuatilia hata comments za nyuma kabla ya kutoa zenu.Mleta mada hakukurupuka kipindi anaanzisha thread hii Pengo alikuwa ameondolewa kama askofu wa dar es salaam.Kwa Mtazamo wangu naona hauko siliaz na Unachokisema.View attachment 1054429
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani umeingia website ya jimbo sasa hivi ndiyo maana umekurupuka na hii comment. Mleta mada hakukurupuka Pengo alikuwa si tu ameondolewa bali pia hakuwa askofu wa dar es salaam. Unasemaje sasa baada ya hizi screenshots.An
Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.
Itachukua Miongo kadhaa Wafipa kupata Tena Madaraka makubwa Baada ya Mizengo Pinda Na Kardinal Pengo
Pengo alikuwa Na Hikma Sana
Sorry mashirika ni mengi mno nikipata muda nitayaleta na waanzilishi wake na makusudio ya kuanzishwa kwakeAhsante sana,je mashirika mengine unaweza tusaidia tusio na upeo nayo vifupisho na urefu wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye ufahamu ufupisho wa mashirika ya kimisionari mfano ofm cap,imc
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mashirika ni mengi mno nikipata muda nitayaleta na waanzilishi wake na makusudio ya kuanzishwa kwake