Nini kimepelekea Panya Mjanja wa Mtandaoni Kiboko ya Paka Mbishi wa Magogoni kutoweka ghafla?

Nini kimepelekea Panya Mjanja wa Mtandaoni Kiboko ya Paka Mbishi wa Magogoni kutoweka ghafla?

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe 18 June 2020 Panya Mjanja Kipenzi chetu katoweka kabisa haonekani.

Je, hii haina maana kwamba labda Paka Mbishi wa Magogoni ameshaweza Kumtega huyo Panya Mjanja na muda wowote atamtafuna hadi Kufa?
 
Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe 18 June 2020 Panya Mjanja Kipenzi chetu katoweka kabisa haonekani.

Je, hii haina maana kwamba labda Paka Mbishi wa Magogoni ameshaweza Kumtega huyo Panya Mjanja na muda wowote atamtafuna hadi Kufa?
yupo sehemu ana hibernate.....

 
Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe 18 June 2020 Panya Mjanja Kipenzi chetu katoweka kabisa haonekani.

Je, hii haina maana kwamba labda Paka Mbishi wa Magogoni ameshaweza Kumtega huyo Panya Mjanja na muda wowote atamtafuna hadi Kufa?
Kama na wewe ulikuwa follower wake, basi jamaa alikuwa na followers vilaza wengi sana
 
Bila shaka unamuongelea kigogo@2014 ???

Anayeongolewa hapa Panya Mjanja Ndugu na si huyu uliyemtaja hapa na kwa bahati mbaya sana tu hata Mimi Mzukulu huyu Jamaa simjui kabisa.
 
Kama na wewe ulikuwa follower wake, basi jamaa alikuwa na followers vilaza wengi sana

Angalia jinsi unavyoteseka na Mimi Mzukulu a.k.a Brainy Chap yaani kila Uzi ambao nitauanzisha ni lazima tu utaufuata. Ukibarikiwa Umebarikiwa!
 
Angalia jinsi unavyoteseka na Mimi Mzukulu a.k.a Brainy Chap yaani kila Uzi ambao nitauanzisha ni lazima tu utaufuata. Ukibarikiwa Umebarikiwa!
Akili imeanza kukukaa sawa, naona dawa imekuingia barabara, safi sana
 
Angalia jinsi unavyoteseka na Mimi Mzukulu a.k.a Brainy Chap yaani kila Uzi ambao nitauanzisha ni lazima tu utaufuata. Ukibarikiwa Umebarikiwa!
Achana naye huyo... viongozi wa ccm walimfollow kigogo 2014..na jamaa yupo anajipanga upya
 
Akili imeanza kukukaa sawa, naona dawa imekuingia barabara, safi sana

Kama Signature yangu inakumbia Mimi Mzukulu ni Brainy Chap sasa utasemaje tena Akili haiko sawa? au hujui maana na neno hili la Brainy Chap?
 
Achana naye huyo... viongozi wa ccm walimfollow kigogo 2014..na jamaa yupo anajipanga upya

Ndugu huyu uliyemtaja hapa ndiyo nani? Mbona Mimi hata simjui? Ninayemuongelea ( Mjadili ) hapa ni Panya Mjanja na Mwenzake Paka Mbishi.
 
Kama Signature yangu inakumbia Mimi Mzukulu ni Brainy Chap sasa utasemaje tena Akili haiko sawa? au hujui maana na neno hili la Brainy Chap?
Nilichofurahi, na ninaahidi kukunulia soda ni pale nilipoona umeanza kuwa na heshima ni baada ya kubadili tune yako na kuanza kuwa humble.

Hayo ya u Brainy chap hayana maana as long as akili yako imeanza kukaa sawa
 
Umejitahidi kidogo heading sio ndefu sana

Hivi Kikubwa Kinachodaliwa hapa ni Hoja ya Panya Mjanja wa Mtandaoni na Mwenzake Paka Mbishi wa Magogoni au ni Heading yangu? Pumbavu!
 
Back
Top Bottom