Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unaweza ku reply comment bila matusi, acha utoto.Hivi Kikubwa Kinachodaliwa hapa ni Hoja ya Panya Mjanja wa Mtandaoni na Mwenzake Paka Mbishi wa Magogoni au ni Heading yangu? Pumbavu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ku reply comment bila matusi, acha utoto.Hivi Kikubwa Kinachodaliwa hapa ni Hoja ya Panya Mjanja wa Mtandaoni na Mwenzake Paka Mbishi wa Magogoni au ni Heading yangu? Pumbavu!
Bc mkuu nieleweshe kuhusu huyo panya maana najikuta nimetoka nje ya madaNdugu huyu uliyemtaja hapa ndiyo nani? Mbona Mimi hata simjui? Ninayemuongelea ( Mjadili ) hapa ni Panya Mjanja na Mwenzake Paka Mbishi.
Nilichofurahi, na ninaahidi kukunulia soda ni pale nilipoona umeanza kuwa na heshima ni baada ya kubadili tune yako na kuanza kuwa humble.
Hayo ya u Brainy chap hayana maana as long as akili yako imeanza kukaa sawa
Uandishi ukiwa mbaya haivutii hata habari yenyewe kuisoma,Ila heading ikiwa nzuri fupi inavutia mtu kuisoma na kuijadili halafu sio kosa mtu kukukosoa ni jambo la kawaida tuHivi Kikubwa Kinachodaliwa hapa ni Hoja ya Panya Mjanja wa Mtandaoni na Mwenzake Paka Mbishi wa Magogoni au ni Heading yangu? Pumbavu!
Acha kunitoa kwenye reli, nimegundua , kumbe unaweza kuwa humble halafu unajitia kujitoa ufahamu kwa kutukana tukana watu ovyo.Umeshaijua maana ya neno hilo Brainy Chap? Tuanzie hapo Kwanza manake usije ukawa unachangia tu ila neno lenyewe wala hujalielewa kabisa.
Vita ya maneno wanapigana wanawake au wewe sio riziki ?Adui hachaguliwi Silaha ya Kuitumia Vitani Swine.
Uandishi ukiwa mbaya haivutii hata habari yenyewe kuisoma,Ila heading ikiwa nzuri fupi inavutia mtu kuisoma na kuijadili halafu sio kosa mtu kukukosoa ni jambo la kawaida tu
Kama wewe umejirekebisha tabia , kuna ubaya gani jamaa naye akijirekebisha ?Mbona safari umekuja na Lugha ya Kinidhamu, Umakini, Upole na ya Kilokole sana Ndugu? Umegundua labda kuna Dhahama ilikuwa inakufuata?
Bc poa mkuuSiku zingine mkiona Mada imeanzishwa Kimafumbo basi na nyie pia jitahidini Kuijibu / Kuichangia Kimafumbo hivyo na siyo kuwa na Viherehere.
I am a man and a halfHivi na Wewe unajiita Mwanamume kabisa na Kamili au ni Uncircumcised Baboon unayenipotea muda tu hapa? Umelianza hakikisha Unalimaliza.
Neno breinii chapu unasema lipo kwenye signature yako, yet una demand mimi nikueleweshe, ina maana unalitumia pasipo kujua maana yake ?Bado hujanijibu Swali langu je, umeshajua maana ya neno hilo lililopo katika Signature yangu la Brainy Chap? Kama umeshajua nieleweshe upesi.
If you say soWho is also very insane.
Neno breinii chapu unasema lipo kwenye signature yako, yet una demand mimi nikueleweshe, ina maana unalitumia pasipo kujua maana yake ?
Are you insane ?
Hilo swali muulize boyfriend wako.Ndiyo nataka sasa Wewe mwenye kujua na kuelewa maana yake uniambie tafadhali. Fanya upesi nasubiri unipe maana yake Wewe Wordsmith.