Nini kimepelekea Panya Mjanja wa Mtandaoni Kiboko ya Paka Mbishi wa Magogoni kutoweka ghafla?

Nini kimepelekea Panya Mjanja wa Mtandaoni Kiboko ya Paka Mbishi wa Magogoni kutoweka ghafla?

Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe 18 June 2020 Panya Mjanja Kipenzi chetu katoweka kabisa haonekani.

Je, hii haina maana kwamba labda Paka Mbishi wa Magogoni ameshaweza Kumtega huyo Panya Mjanja na muda wowote atamtafuna hadi Kufa?
Kigogo2014
 
Lazima atakuwa ameshapotezwa, angekuwepo hii issue ya DIISII angekuwa ameshatupa black n white
 
Ukishakuwa ndani ya network ni swala la muda tu huwezi kuwa completely anonymous kila Tag within the network lazima iwe assigned na ijulikane ipo wapi
ni ngumu sana...si rahisi kama unavyofikiri 7bu twitter wanaprovide security ya privacy ambayo hata FBI inawatoa jasho kupata....labda watu wamlaghali awape yeye mwenyewe bila kujua itakuyokuwa ili kufutilia nyuma
 
ni ngumu sana...si rahisi kama unavyofikiri 7bu twitter wanaprovide security ya privacy ambayo hata FBI inawatoa jasho kupata....labda watu wamlaghali awape yeye mwenyewe bila kujua itakuyokuwa ili kufutilia nyuma
Ninayasema haya kama mwana industry pia
 
Ahahahaaa kigogo nadhani it's no more mtandaoni au amefreeze kusoma watu wanasemaje!.
 
ni ngumu sana...si rahisi kama unavyofikiri 7bu twitter wanaprovide security ya privacy ambayo hata FBI inawatoa jasho kupata....labda watu wamlaghali awape yeye mwenyewe bila kujua itakuyokuwa ili kufutilia nyuma

Nahisi/nadhani kigogo alizidiwa sifa na umaarufu. Hata kama twita kuna hiyo privacy kubwa ila always kunakuwa na loop holes. Na ile kibinadamu tu kuzidiwa na ile fame ambayo of course hakuitarajia inawezekana ali interact kwenye mitandao mingine ambayo aliacha prints na trails zikakomaliwa huko hadi kumfikia.
 
ni ngumu sana...si rahisi kama unavyofikiri 7bu twitter wanaprovide security ya privacy ambayo hata FBI inawatoa jasho kupata....labda watu wamlaghali awape yeye mwenyewe bila kujua itakuyokuwa ili kufutilia nyuma
Kitu kibaya mnachoamini ni kudhani yule bw ni guru asilimia 100 wa hizi mambo.hata wiki mbili hazikwisha nilimtonya halafu akadhihaki kwa dharau.

Ukiachana na zile movies za 87 za akina kipensi,makomndoo huwa ni wengi,na kama unajiona ni elite kuliko wengine,utatumiwa wenzako ambao mmepiga nao kozi wakuzimishe,ikishindikana utaletewa hata watu kutoka sehemu nyingine wenye uwezo kukuzidi.

Huyu either arudi na sura nyingine,au arudi akiwa na maudhui tofauti.
 
Kitu kibaya mnachoamini ni kudhani yule bw ni guru asilimia 100 wa hizi mambo.hata wiki mbili hazikwisha nilimtonya halafu akadhihaki kwa dharau.

Ukiachana na zile movies za 87 za akina kipensi,makomndoo huwa ni wengi,na kama unajiona ni elite kuliko wengine,utatumiwa wenzako ambao mmepiga nao kozi wakuzimishe,ikishindikana utaletewa hata watu kutoka sehemu nyingine wenye uwezo kukuzidi.

Huyu either arudi na sura nyingine,au arudi akiwa na maudhui tofauti.
sijui kwanini umesema namuamini! by theway mimi simwamwini wala sijafollow hapo nimetoa maoni yangu mimi kama mimi..
ni jambo linajulikana wazi twitter ni mtandao mgumu kuhack...
 
Leo mbona katweet dakika kadhaa zilizopita

Una uhakika wa 100%? Unaweza ukaweka huo Ushahidi labda ili na wengine tuweze Kuuona na Kukuamini zaidi kwani huenda tuna Upofu sana.
 
Faida yake nini sasa? maana Mange nae alipambana weee ila kwenye kuandamana watu wakanyuti akaishiwa nguvu akasusa,akaja kurudi kwenye corona ila ndio kwanza wabongo wanaendelea na maisha yao mikusanyiko kama kawaida,akaona anampigia mbuzi gitaa.
 
Faida yake nini sasa? maana Mange nae alipambana weee ila kwenye kuandamana watu wakanyuti akaishiwa nguvu akasusa,akaja kurudi kwenye corona ila ndio kwanza wabongo wanaendelea na maisha yao mikusanyiko kama kawaida,akaona anampigia mbuzi gitaa.

Faida yake ni kwamba Kitu pekee unachotakiwa Kukifanya uwapo hapa Tanzania ni Kujihangaika Wewe na Familia yako na siyo Kuwajali Wabongo.
 
Back
Top Bottom