Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata chanzo cha utajiri wa Lowasa hatuambiwi.Naweza kuamini habari ya Kenya maana Bongo kwa kuficha ficha hatujambo japo vingine havina hata sababu ya kuvificha.
Kila nchi ina counter intelligence katika nchi nyingine, na inawezekana hata hapo Muhimbili wamo ma-informer wa Kenya.Unataka kusema chanzo kilichotoa habari ya sababu ya kifo cha Lowassa kikatudanganya watanzania, halafu kikawaambia ukweli wakenya?!
Mimi ninaona hiyo habari inaweza kusababishwa zaidi na kupata taarifa toka kwa vyanzo viwili tofauti, wakenya wakamuuliza wa kwao, na watanzania tukamuuliza wa kwetu toka familia hiyo hiyo ya marehemu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Inasemekana baba rizmoko kamchukua msukuleChanzo cha vifo vya viongozi wetu huwa kinaleta mkanganyiko, sasa ni kuhusu nini hasa kimesababisha kifo cha Lowasa.
View attachment 2903806View attachment 2903807
Ili iweje?punguza chuki,kataa umasikini kwa namna yoyote ile,umasikini sio sifa.Hata chanzobya utajiri wa Lowasa hatuambiwi.
HakikaIli iweje?punguza chuki,kataa umasikini kwa namna yoyote ile,umasikini sio sifa.
Once umekufa umekufa tu, sababu sio issue tena.Chanzo cha vifo vya viongozi wetu huwa kinaleta mkanganyiko, sasa ni kuhusu nini hasa kimesababisha kifo cha Lowasa.
View attachment 2903806View attachment 2903807
Watanzania tusiwe tunapenda sana kuona kama kila taarifa ya nje ndiyo sahihi na za kwetu siyo. Mzee wetu ENL ameugua muda mrefu kiasi kwamba yaliongelewa mengi kuhusiana na ugonjwa wake. Nadhani tuache huyu mzee azikwe na Mungu wake ndiyo anayejua. Kwahiyo Kenya wakisema alikuwa na miaka 50 tuamini kwa sababu ni Kenya wamesema. Hebu tuheshimu basi hata familia yake wapo kwenye majonzi.Chanzo cha vifo vya viongozi wetu huwa kinaleta mkanganyiko, sasa ni kuhusu nini hasa kimesababisha kifo cha Lowasa.
View attachment 2903806View attachment 2903807
TusipangianeWatanzania tusiwe tunapenda sana kuona kama kila taarifa ya nje ndiyo sahihi na za kwetu siyo. Mzee wetu ENL ameugua muda mrefu kiasi kwamba yaliongelewa mengi kuhusiana na ugonjwa wake. Nadhani tuache huyu mzee azikwe na Mungu wake ndiyo anayejua. Kwahiyo Kenya wakisema alikuwa na miaka 50 tuamini kwa sababu ni Kenya wamesema. Hebu tuheshimu basi hata familia yake wapo kwenye majonzi.
Chanzo cha vifo vya viongozi wetu huwa kinaleta mkanganyiko, sasa ni kuhusu nini hasa kimesababisha kifo cha Lowasa.
View attachment 2903806View attachment 2903807