Nini kimesababisha kifo cha Edward Lowasa? Kenya wadai ni saratani, Tanzania wanasema ni ugonjwa wa mapafu, shinikizo la damu, na utumbo kujikunja!

Nini kimesababisha kifo cha Edward Lowasa? Kenya wadai ni saratani, Tanzania wanasema ni ugonjwa wa mapafu, shinikizo la damu, na utumbo kujikunja!

Huna akili
Nina jaribu kukuelimisha mdogo wangu. Kuna elimu fulan umekosa. Juzi uliruka na upuuz mwingine kuwa Diaspora wa Kenya wanatuma pesa nyingi kwao. Kwa hiyo wana elimu kuliko watanzania. Something which isn't true at all. From that thread which you sent almost two days ago, I noticed that your missing something.
 
Nina jaribu kukuelimisha mdogo wangu. Kuna elimu fulan umekosa. Juzi uliruka na upuuz mwingine kuwa Diaspora wa Kenya wanatuma pesa nyingi kwao. Kwa hiyo wana elimu kuliko watanzania. Something which isn't true at all. From that thread which you sent almost two days ago, I noticed that your missing something.
Pita kule
 
Watanzania tumezoea habari za mitaan tu na za uzushi. Hizo za mitaan na uzushi ni nzur na tamu sana. Kwann uje jamii forum ulete uzushi? Nenda Pale Muhimbil kuna cheti cha kifo kimeandikwa sababu ya kifo. Acha habar za kitoto na Kipuuz :
Kwahiyo wanachoandika muhimbili lazima kiwe kweli? Hao si ndio waliweka kibanda Cha kujifukiza kipindi Cha COVID 19?
 
Hatuambiwi huo ubilionea aliupataje. Aliye na ile ripoti ya Mwakyembe naomba aiweke hapa tuisome na kumuelewa vizuri
Ziko taarifa ambazo ziliwekwa wazi siku nyingi tuu hapa kwamba kulikuwa na dili la kampuni ya Toyota kuuzia magari na vipuli serikali na wabunge wote kukopeshwa. Kama kawaida kampuni kubwa dili kama hizo zina mfumo wa kutoa shukrani ya 10 percent kwa kinara wa dili hilo. Sasa mzee wa bleech alikuwa kinara wa nchi ndani ya ofisi ya Chigwemisye, Chigwe akazubaa kidogo mtoto wa mjini akapita na mshiko wote na sio haba maana dili lile lilikuwa kubwa sana na la miaka kadhaa.
Mshua chap chap akaingiza mshiko kwenye Real estate ndani na nje ya nchi na kuchomoza.
 
Whether ni Cancer au kujikunja Kwa utumbo vyote ni source ya human expire in life gifted by The Almighty.
Vifo vya pole pole ni Ibadan Kwa wengine,haijalishi kwa kupandikiziwa au by nature/mfumo wa Maisha.
Ugonjwa wa Cancer ni funzo tosha Kwa Toba Kwa wengine.
Binafsi nilipitia changamoto hii baada ya Mama yangu mzazi kuteseka Kwa Cancer ya Ziwa lake na kufariki 26th Nov,2006.
 
Back
Top Bottom