Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa na mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa ujumla.
Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?
Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?