TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Upo sahihi mkuu. Infact mwanaume wa miaka 40 binti wa 20 ndio wa jika lake kabisa hapo hakuna cha kuuliza.Sasa mkuu mdada wa miaka 20 na mwanaume miaka 40 tofauti ni umri tu ila kiakili unaweza kuta anajua mambo mengi kuliko hata huyo mwanaume