Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Sasa ulitegemea wakuambie? 😂😂😂Sio kweli,nimewahoji wengi wanadai vijana wanawaumiza kimapenzi.
Siri ya kambi hio, alafu Ni simple logic wanategemea utakua unajua tu automatically, kwaio kuwahoji ni Kama unawachora na wao watakuchora vilevile