Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Sio kweli,nimewahoji wengi wanadai vijana wanawaumiza kimapenzi.
Sasa ulitegemea wakuambie? 😂😂😂
Siri ya kambi hio, alafu Ni simple logic wanategemea utakua unajua tu automatically, kwaio kuwahoji ni Kama unawachora na wao watakuchora vilevile
 
Sasa ulitegemea wakuambie? 😂😂😂
Siri ya kambi hio, alafu Ni simple logic wanategemea utakua unajua tu automatically, kwaio kuwahoji ni Kama unawachora na wao watakuchora vilevile
Mimi ni mtaalamu wa saikolojia.
 
Ila wakuu boda boda wanakula sana wanawake iwe hao 16-40 yaani wote wote ni MOTO TU huko uboda bodani
 
Ati nyie pesa yenu mnaibana wakati papuchilo mnaitaka.pambaneni na hali zeni ati[emoji23]
Acha vijana tujenge kwanza vibanda vya kulala..tukifika 40's pia tutawatema nyie maana mtakuwa umri umesogea na tutaanza kutafuna vibichi vya early 20's..Simple tu.
 
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa ujumla.

Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?
Hii tabia wametoa ccm,mana lichama limejaa vijana wachawi na makapuku
 
Watu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa!!!
Vipi kama tukipaka piko kwenye nywele?
 
Mimi nikazani ilo jambo linanitokea peke angu .kwanza Mimi umri wangu upo kwenye range ya 25 kwenda juu lakini unakuta nashobokewa hadi na watoto sekondari yani sielewi binafsi naviona vidogo lakini wenyewe ndo shobo zimezidi yani mpaka unaona kabisa naelekea kugombana na wazazi wao maana nahisi wananihisi vibaya
Sio wazazi wao mpaka jamuhuri a.k.a serikali pia unatengeneza zengwe nao,nasikia miaka imezidishwa kutoka 30 mpaka 60.
 
Mkuu wananiita hivyo kama utani kwa jinsi nilivyokakasirika baada ya kupokea sms,kwani nilitimba mpaka kwao kwenda kumkana,na bakora alichezea
Wamekuona mtoto ndo maana wanakuchekea ila ki uhalisia we kama mtu mzima ulipaswa kuihandle hiyo situation kwa kunyamaza tu hako kabinti kangejua umemind na kangekoma mara moja. Ila kitendo cha kwenda kwao umefyumu umedhihirisha haina emotional maturity
 
Back
Top Bottom