Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Mimi niwe sina pesa ninayo kwangu siwazi na sasa hata mia hapa nilipo sina na sijioni mnyonge wala dhaifu hao watoto watumieni muwezavyo nyie amabao mpo 40s saivi miaka 20 ijayo mtakua 60s au less ya hapo .


Sisi tutakua kwnye 40 s hivi tutakula watoto wenu na hela tutashika na hakuna mtakacho tuambia wala sina hofu kama sio mimi basi kuna wengine watatimiza .

Tusitishane wakati muda upoo kama Mungu asipo fanya yake.
 
Ndio maana heshima imeshuka,binti haheshimu watu wakubwa coz ameshatembea nao na ana amini anaweza tembea na mtu mkubwa yeyote yule,

Pia hizi porno movie zinawadanganya wanaona kua kila kitu kinawezekana,umri sio issue,

Lakini kama ni lawama basi ziwaendee hao watu wazima na sio mabinti wadogo.
 
Ukiona popote mdada anaingia gesti na mzee
Piga simu polisi tuokoe wazee wetu
 
Ndio maana heshima imeshuka,binti haheshimu watu wakubwa coz ameshatembea nao na ana amini anaweza tembea na mtu mkubwa yeyote yule,

Pia hizi porno movie zinawadanganya wanaona kua kila kitu kinawezekana,umri sio issue,

Lakini kama ni lawama basi ziwaendee hao watu wazima na sio mabinti wadogo.
Na hao mabinti ndo wanaongoza kuua hivyo vizee na vyenyewe vinapaka mundende
 
Mimi nikazani ilo jambo linanitokea peke angu .kwanza Mimi umri wangu upo kwenye range ya 25 kwenda juu lakini unakuta nashobokewa hadi na watoto sekondari yani sielewi binafsi naviona vidogo lakini wenyewe ndo shobo zimezidi yani mpaka unaona kabisa naelekea kugombana na wazazi wao maana nahisi wananihisi vibaya
Hatuvisemei ivo vidunchurii,tunasemea vitoto umri wako kupenda watu wazima.Ila kweli humu tumeingiza na chekechea..ko wewe umejiona MTU mzima tayari?
 
Mambo haya tumetofautiana sana,but kama ni pesa bas siyo kosa lao......lakini kiukweli vijana ndo njema
 
Hatuvisemei ivo vidunchurii,tunasemea vitoto umri wako kupenda watu wazima.Ila kweli humu tumeingiza na chekechea..ko wewe umejiona MTU mzima tayari?
Kwa hiyo above 25 bado mimi mdogo?.kwanza title imesema MABINTI WADOGO sijui umeelewa afu mimi sijashangazwa na ke wa umri wangu kwa hao wa umri ni wakubwa sana above 25 si binti tena kwa hiyo hata wakipenda vizee ruksa .mimi nashangazwa vitoto vya sekondari kuwa na tabia hizo ,sijui umenielewa
Hatuvisemei ivo vidunchurii,tunasemea vitoto umri wako kupenda watu wazima.Ila kweli humu tumeingiza na chekechea..ko wewe umejiona MTU mzima tayari?
 
Vijana kubembeleza hamjui kuhudumia hamjui, kuna kaka mmoja jamani yani akinipigia simu napata raha sana yani anaelewa mahitaji ya mwanamke, tukikutana kama nywele zimeanza kufumuka unashangaa anachomoa hamsini na kuendelea nenda kasuke, ukipigiwa simu uko wapi town unafanya nini nanunua nguo akija nguo zote analipia, yani akija home anabeba mchele nyama unga yani kasoro mkaa alafu akianza kuondoka anaacha hamsini sitini mezani, hivi ni kwa sababu ana hela sana au ni moyo wake tu mana ni mtu mzito kidogo pale wizara ya mpunga

Mi nafikiri siyo kwamba anahela sana ila anajuwa mahitaji ya mwanamke
Imagine ananitongoza toka mwaka jana ila nimemkataa coz ana familia na bado anafanya haya yote, siku nikimvulia nguo si itakuwa zaidi

By the way namshukuru sana huyu kakangu laiti angekuwa hana mke huyu ningemuogesha na kumbeba na kumuheshimu sana mana ANAONDOA STRESS ANATIBU B. P NA MAGONJWA MENGINE YA SONONO
 
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa ujumla.

Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?
Acha tuwatafune Watoto bado wabichi hao.
 
Vijana kubembeleza hamjui kuhudumia hamjui, kuna kaka mmoja jamani yani akinipigia simu napata raha sana yani anaelewa mahitaji ya mwanamke, tukikutana kama nywele zimeanza kufumuka unashangaa anachomoa hamsini na kuendelea nenda kasuke, ukipigiwa simu uko wapi town unafanya nini nanunua nguo akija nguo zote analipia, yani akija home anabeba mchele nyama unga yani kasoro mkaa alafu akianza kuondoka anaacha hamsini sitini mezani, hivi ni kwa sababu ana hela sana au ni moyo wake tu mana ni mtu mzito kidogo pale wizara ya mpunga

Mi nafikiri siyo kwamba anahela sana ila anajuwa mahitaji ya mwanamke
Imagine ananitongoza toka mwaka jana ila nimemkataa coz ana familia na bado anafanya haya yote, siku nikimvulia nguo si itakuwa zaidi

By the way namshukuru sana huyu kakangu laiti angekuwa hana mke huyu ningemuogesha na kumbeba na kumuheshimu sana mana ANAONDOA STRESS ANATIBU B. P NA MAGONJWA MENGINE YA SONONO
Mvulie uonee kama ulivyokula ilikkua n trela tuu hmn lolote
 
Wamekuona mtoto ndo maana wanakuchekea ila ki uhalisia we kama mtu mzima ulipaswa kuihandle hiyo situation kwa kunyamaza tu hako kabinti kangejua umemind na kangekoma mara moja. Ila kitendo cha kwenda kwao umefyumu umedhihirisha haina emotional maturity
Usikariri mkuu,kila jambo lina njia tofauti tofauti ya kulidhibiti,na namna gani limekuja.
 
Back
Top Bottom