Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
We si useme tu, Per Diem Tembo kazi Sungura 😁😁😁! Ushenzi wetu nin zaidi ya ukata tu unaotukabili watoto wa kimaskini?Ndo mpango mzimaaa..vijana washenzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si useme tu, Per Diem Tembo kazi Sungura 😁😁😁! Ushenzi wetu nin zaidi ya ukata tu unaotukabili watoto wa kimaskini?Ndo mpango mzimaaa..vijana washenzi tu
SawaKwa hiyo above 25 bado mimi mdogo?.kwanza title imesema MABINTI WADOGO sijui umeelewa afu mimi sijashangazwa na ke wa umri wangu kwa hao wa umri ni wakubwa sana above 25 si binti tena kwa hiyo hata wakipenda vizee ruksa .mimi nashangazwa vitoto vya sekondari kuwa na tabia hizo ,sijui umenielewa
Hapo ndio watu wajue dunia imeishaWatoto kama hao wengi sana. Kuna tatizo sasa hivi.
Usitujaze ushamvulia. Anakuhudumia kila wakati alafu useme papchi hajala were!!!Vijana kubembeleza hamjui kuhudumia hamjui, kuna kaka mmoja jamani yani akinipigia simu napata raha sana yani anaelewa mahitaji ya mwanamke, tukikutana kama nywele zimeanza kufumuka unashangaa anachomoa hamsini na kuendelea nenda kasuke, ukipigiwa simu uko wapi town unafanya nini nanunua nguo akija nguo zote analipia, yani akija home anabeba mchele nyama unga yani kasoro mkaa alafu akianza kuondoka anaacha hamsini sitini mezani, hivi ni kwa sababu ana hela sana au ni moyo wake tu mana ni mtu mzito kidogo pale wizara ya mpunga
Mi nafikiri siyo kwamba anahela sana ila anajuwa mahitaji ya mwanamke
Imagine ananitongoza toka mwaka jana ila nimemkataa coz ana familia na bado anafanya haya yote, siku nikimvulia nguo si itakuwa zaidi
By the way namshukuru sana huyu kakangu laiti angekuwa hana mke huyu ningemuogesha na kumbeba na kumuheshimu sana mana ANAONDOA STRESS ANATIBU B. P NA MAGONJWA MENGINE YA SONONO
Ha ha ha Eva bana,unanipaga Raha Sana xana.Fix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
Kama hujampa penzi na pesa yake unakula jiandae kwa majuto makubwa yasiuosahaulika maishani mwako.Vijana kubembeleza hamjui kuhudumia hamjui, kuna kaka mmoja jamani yani akinipigia simu napata raha sana yani anaelewa mahitaji ya mwanamke, tukikutana kama nywele zimeanza kufumuka unashangaa anachomoa hamsini na kuendelea nenda kasuke, ukipigiwa simu uko wapi town unafanya nini nanunua nguo akija nguo zote analipia, yani akija home anabeba mchele nyama unga yani kasoro mkaa alafu akianza kuondoka anaacha hamsini sitini mezani, hivi ni kwa sababu ana hela sana au ni moyo wake tu mana ni mtu mzito kidogo pale wizara ya mpunga
Mi nafikiri siyo kwamba anahela sana ila anajuwa mahitaji ya mwanamke
Imagine ananitongoza toka mwaka jana ila nimemkataa coz ana familia na bado anafanya haya yote, siku nikimvulia nguo si itakuwa zaidi
By the way namshukuru sana huyu kakangu laiti angekuwa hana mke huyu ningemuogesha na kumbeba na kumuheshimu sana mana ANAONDOA jianSTRESS ANATIBU B. P NA MAGONJWA MENGINE YA SONONO
....Short and Clear...Jibu dogo tu vijana hamna hela basi
Your days are numbered kubabek hataliwa kwa mpalange adi kenye pua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Vijana kubembeleza hamjui kuhudumia hamjui, kuna kaka mmoja jamani yani akinipigia simu napata raha sana yani anaelewa mahitaji ya mwanamke, tukikutana kama nywele zimeanza kufumuka unashangaa anachomoa hamsini na kuendelea nenda kasuke, ukipigiwa simu uko wapi town unafanya nini nanunua nguo akija nguo zote analipia, yani akija home anabeba mchele nyama unga yani kasoro mkaa alafu akianza kuondoka anaacha hamsini sitini mezani, hivi ni kwa sababu ana hela sana au ni moyo wake tu mana ni mtu mzito kidogo pale wizara ya mpunga
Mi nafikiri siyo kwamba anahela sana ila anajuwa mahitaji ya mwanamke
Imagine ananitongoza toka mwaka jana ila nimemkataa coz ana familia na bado anafanya haya yote, siku nikimvulia nguo si itakuwa zaidi
By the way namshukuru sana huyu kakangu laiti angekuwa hana mke huyu ningemuogesha na kumbeba na kumuheshimu sana mana ANAONDOA STRESS ANATIBU B. P NA MAGONJWA MENGINE YA SONONO
Kula mzigo huo wacha kulemba.Kuna katoto form 1,kameniandikia msg kupitia namba ya binti wao wa kazi eti kananipenda,nilishangaa sana! ana umri wa miaka 13 mimi 43.
Fimbo gani?Yaani shida,nilikasirika sana nilitamani nikaweke fimbo.Wazazi wake wamejua tukikutana wanacheka wananiita mkwe
Mimi nikazani ilo jambo linanitokea peke angu .kwanza Mimi umri wangu upo kwenye range ya 25 kwenda juu lakini unakuta nashobokewa hadi na watoto sekondari yani sielewi binafsi naviona vidogo lakini wenyewe ndo shobo zimezidi yani mpaka unaona kabisa naelekea kugombana na wazazi wao maana nahisi wananihisi vibaya
Fimbo ya mwarobaini mkuu!Fimbo gani?
Mkuu haya mambo yana wenyewe na wenyewe ndio kama nyinyi.Kula mzigo huo wacha kulemba.
Andika vizuri wewe! Hivi hizi herufi x badala ya s mnazitoa kwenye mitaala gani nyinyi? Sio kila kitu ni cha kuiga ndugu zangu. Yaan umeandika matapishi halafu unasema eti na uzee wako. Kwa hiyo watoto wako wanaandikaje.Mim na uzee wng najtahd xn kwnd n hii kas y hw mabint undr 20 kwkwl naon watantoa roh. Ila naon nmexha improv kwa ss hawanip shda.