dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
HahahaaaaaFix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaFix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
Wote wanapendana.Siyo kwamba watu wazima ndo wanapenda mabinti wadogo?
Jibu ni pesa hayo mengine wanajificha tu Ili wakwepe uhalisia wa kweli kwenye PESA,hawawezi kusema Hilo,hata wazee wanawaumiza Sana tu maana wengi huwa wameoa wanataka utamu tu.Mbona nilijaribu kuwahoji wakadai vijana wenzao wanawaumiza hata wakiwa na pesa?
"xaxa my wangu "Fix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
xtaki axee niache"xaxa my wangu "
Mother mbona unatughasi hivyoWatu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa!!!
Hakina nani haoFix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!
Kuweni wanaume halisi, sio maneno manenoMother mbona unatughasi hivyo
Ndio we ukizani wanafuata ndevu?Kwa hiyo wanafuata pesa?
Mim na uzee wng najtahd xn kwnd n hii kas y hw mabint undr 20 kwkwl naon watantoa roh. Ila naon nmexha improv kwa ss hawanip shda.Fix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"
Maneeenah sana!!!