Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

Watu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa!!!
Mother mbona unatughasi hivyo
 
Watu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa
Mother mbona unatughasi hivyo
Kuweni wanaume halisi, sio maneno maneno
 
Fix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"

Maneeenah sana!!!
Mim na uzee wng najtahd xn kwnd n hii kas y hw mabint undr 20 kwkwl naon watantoa roh. Ila naon nmexha improv kwa ss hawanip shda.
 
Back
Top Bottom