Ndiyo Ukweli WenyeweJibu dogo tu vijana hamna hela basi
Kabisa kabisaKwa hiyo wanafuata pesa?
Hamna, vitoto ndo vinatuangalia sana baba zaoSiyo kwamba watu wazima ndo wanapenda mabinti wadogo?
Utafiti ? Utafiti gani bhana!!!Nimefanya utafiti,mabinti wanapenda watu wazima.
Kula ushibe nenda nawa endelea na safariMimi nikazani ilo jambo linanitokea peke angu .kwanza Mimi umri wangu upo kwenye range ya 25 kwenda juu lakini unakuta nashobokewa hadi na watoto sekondari yani sielewi binafsi naviona vidogo lakini wenyewe ndo shobo zimezidi yani mpaka unaona kabisa naelekea kugombana na wazazi wao maana nahisi wananihisi vibaya
Vikiwaangalia alafu inakuwaje??Hamna, vitoto ndo vinatuangalia sana baba zao
Fix kibao bado akuandikie meseji ya "xaxa my wangu xi kama tulivoongea, i love u xo much"Watu wazima wana raha yake,hela anakupa bado utabembelezwa kama mtoto,wepesi kuomba radhi, yani ni full package sema tuu mvi nyingi....vijana hela hamtoi na bado fix kibaaaaoo ukinikuta na hela zangu bado unataka unipangie matumizi..chaaa!!!
Kakikwangalia unakanunulia soda afu unakaambia wahi nyumbani mtoto.Vikiwaangalia alafu inakuwaje??
Una uhakika haviwaangalii na wale wa age yao??
Sawa.Kakikwangalia unakanunulia soda afu unakaambia wahi nyumbani mtoto.