Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

Huu mchango wako ndugu Heijah , unafaa utengenezewe fremu kisha uwekwe kwenye meza ya mwenye mamlaka ya uteuzi.
Hasaa! Kukuunga mkono, soma historia ya Dunia kuhusu mojawapo ya vianzilishi vya Vita Kuu ya Pili; utakuta Rais wa Marekani alipoongoza Mkutano wa Amani wa Versailles kuzungumzia masharti ya kuiwekea Ujerumani alikwenda na Prof. 3 wa kumshauri. Yale masharti waliyoiwekea Ujerumani yalikuwa hayana uhalisia kiasi kwamba mara baada ya masharti hayo kuwekwa saini na pande zote, Ujerumani ilianza kujiandaa Vita ya Pili kwa sababu masharti iliyowekewa yalikuwa "excessive" hayatekelezeki. Tangu wakati huo Dunia ilipata funzo la kudumu kuwa shule peke yake haitoshi. Kwa hiyo wenzetu wanaotazama vyeti vya darasani zaidi wanakosa uelewa fulani wa Dunia inavyoendeshwa! Tanzania ni sehemu ya Dunia!

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Kuna level ukiipita katika maisha kuna vitu utaona vya kawaida sana. Na kuna level ukiwa katika maisha kuna vitu kwako unaweza kuviona ni ndoto. Kuna mtu anaiona iphone 13 pro max kwake ni ndoto na kuna mtu naona ni kitu cha kawaida.

Kuna watu huko wanaona ukuu wa mkoa ambao mtu hauzidi 5M ni ndoto na kuna wanaoona hiyo ni hela mbuzi maana kwakujiajiri anaingiza zaidi ya hiyo kwa mwezi.

Hawa chawa wa UVCCM ambao hawajawahi ingia kwenye service scheme yoyote kwao laki moja tu huwafanya wakatane mitama maana ni ndoto kwao na kwa vile chama chao ni cha kijamaa hudumaza akili na kipato chao ili kiendelee kuwatumia kwa kuwaangushia tende na finyango za nyama.

Hajui kuna watu wanakataa u MD wenye package hadi 30M hapa nchini achilia mbali hivyo vyeo uchwara vya u DC na U RC ambavyo hao chawa wa CCM ni ndoto lwao.
Umenena ukweli mtupu Jombaa.
 
Tupe mifano ya hao viongozi bora na wafanyabiashara. Au usomi ni kuwa prof ama udaktari? Au tafsiri yako ya wasomi ni watu wa namna gani?
Nadhani hilo swali ungelipeleka ikulu sio kwangu wenye kuchaguwa watu ila kwa navyojuwa wao vinatizamwa vyeti tu lazima uwe umepita chuo na degree sasa kwa bahati nzuri mimi sijawahi kuwa mwajiriwa wa serikali na sidhani kama nitakuwa, Nchi yoyote ukiona watu wanaanza kujiita au kutanguliza majina mfano Eng, Hon, Prof ujuwe kuna shida sehemu fulani haya huwezi kusikia kwa wenzetu hata ukikata ticket ya ndege tu unajaza Title sasa jiulize inasaidia nini mimi kujiita Dr, Prof, Eng sijui Miss kwenye ticket ya ndege point ni nini? swali lako majina ya wafanya biashara nadhani sina haja ya kuwataja sababu unawajuwa nitajie wafanya biashara wa kubwa Tz ma Eng au Prof? viongozi wa nchi fanya research to utaona viongozi bora duniani back ground zao.
some of the world's richest — and smartest — people have been able to achieve millionaire and billionaire status without ever setting foot on campus or completing higher education
 
Huna akili ya ku comprehend mambo ungekaa kimya.... nimeandika niliacha kazi serikalini nikaja huku kwenye international organizations.... wapi nimesema bado nafanya? Unajua ni lini? Bila aibu unajibu kitu usichokielewa!

Pathetic fool!!
Wewe mwenye uelewa, kama ni mstaarabu pia nieleweshe.
 
Hii ndio shida. Hawa vijana wa CCM wana limited mindset ya kufikiri.
Una mikwara mingi lakini kihiyo tu kama wengine.

Limited mind ya kufikiri ndio kitu gani??

Itakua hapo Foreign Affairs walikufukuza kwa kufoji vyeti.
 
Punguza jazba
Ndio maana nimesema elimu nzuri anayo sijui shida ni kwenye uongozi!
Sasa kelele ya nini?
Ucha Mungu contributes kitu fulani fulani kwa maisha ya mwanadamu…
Nchi zilizoendelea lalalalilololo ( we have been there tunajua zaidi ya ujuavyo) Twende pole pole bro ah ahaaa… usinifokee khe! I
Huyo "mzee" ana stress na anategemea watoto wake wamuwekee bundle la kuja kupunguzia stress zake hapa JF.

Msameheni bure tu.
 
Kahyarara ni mtu wa hovyo sana sijui Samia alimrudisha wanini.

Hana tofauti na wasomi wengine wa kiafrika ambao pamoja na usomi wao hawana tofauti na washenzi.
Duuh! Funguka kidogo na sisi tufaidike na unachokijua kuhusu huyu prof
 
Niwakumbushe SSH alivyokuwa anamtumbua mkurugenzi wa bandari SSH alilalamika sana kuhusu wawekezaji kuzungushwa na kuamua kuindoka , na huyu ndio alikuwa wizara inayosimamia sera za uwekezaji , hivi mtu Leo akimsikiliza SSH halafu ukakubali kuuza kwa mfano bandari ya dsm siku huyo mama yao SSH akiondika TAKUKURU hii ya hovyo si itakula kichwa chako mfano watu waliofunguliwa kesi na TAKUKURU waliokuwa wanafanya KAZI kwa maelekezo ya jiwe kama TAKUKURU inawahurumia Leo kuwa ni maelekezo yalitoka juu
 
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.

Ku utilize resources na knolegde ulimwengu mwingine kabisa tofauti na kutema content darasani kisha kumsaishia mwanafunzi aliyekariri ulichomtemea.

Ndio maana developed world walishavuka kwenye uga wa kuabudu vyeti sana.

Hayo ya ucha Mungu wa wazazi wake hayaongezi chochote kwenye quality service

Mwanzo ulianza vizuri nami nimekujibu vizuri tu sasa jazba kwatika majibu yangu inatoka wapi? Au nawewe ni miongoni mwa wasomi wa hovyo wa kiafrika? Maana wasomi wa kiafrika wengi wao huwezi watofautisha na washenzi, japo wana kipato lakini ni walafi , wanyimi, wasengenyaji na hoja za kuuma huita matusi na haki zao za msingi kwao huona fadhila.
Sawa msomi mstaarabu sie wengine ni wasomi washenzi.. dah
Sasa sijui mimi au wewe aliye na matusi
Ungenielewa toka mwanzo usingenitusi
Nimesema shida ya Prof ni kwenye uongozi hapo ndio ipo shida sasa nimekosea wapi?

Nikutakie wakati Mwema
 
Sawa msomi mstaarabu sie wengine ni wasomi washenzi.. dah
Sasa sijui mimi au wewe aliye na matusi
Ungenielewa toka mwanzo usingenitusi
Nimesema shida ya Prof ni kwenye uongozi hapo ndio ipo shida sasa nimekosea wapi?

Nikutakie wakati Mwema
Tusi liko wapi? Ukiona msomi mzima vitu vidogo vidogo bado vinakutesa katika tafsiri ujue ni walewale.... nyie ndo hoja halisi za kuuma mnazitafsiri ni matusi na haki zenu kwa watawala huzitafsiri kama fadhila. Pole sana.
 
Tusi liko wapi? Ukiona msomi mzima vitu vidogo vidogo bado vinakutesa katika tafsiri ujue ni walewale.... nyie ndo hoja halisi za kuuma mnazitafsiri ni matusi na haki zenu kwa watawala huzitafsiri kama fadhila. Pole sana.
Mshenzi ni sawa na habari ya leo ama!
Mbona mimi nimemaliza kwa kukutakia wakati mwema
Usijali imeisha hiyo
Again
Uwe na Wakati Mwema
 
Mshenzi ni sawa na habari ya leo ama!
Mbona mimi nimemaliza kwa kukutakia wakati mwema
Usijali imeisha hiyo
Again
Uwe na Wakati Mwema
Mshenzi sio tusi, ni hali ya kutokua mstaarabu na kuishi ki hayawani.
 
Back
Top Bottom