Uchaguzi 2020 Nini kimewapata wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni, Wamepoa ghafla , au ni baada ya kupima upepo?

Uchaguzi 2020 Nini kimewapata wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni, Wamepoa ghafla , au ni baada ya kupima upepo?

Eti tumepoa, choko ww unajua tunaandaa na tunajiandaa kwa lipi? You just chill.
 
Eti tumepoa, choko ww unajua tunaandaa na tunajiandaa kwa lipi? You just chill.
Mnajiandaa kwa maumivu ya kwenye kura na ya kichapo kama utajaribu kuleta chokochoko. Umeambiwa uage kabisa na kuandika wosia.
 
Katika dhambi kubwa nitafanya hapa duniani ni kuipigia CCM kura.
Mungu anilaani kama nitajaribu hata kuwazia hilo.
 
Mnajiandaa kwa maumivu ya kwenye kura na ya kichapo kama utajaribu kuleta chokochoko. Umeambiwa uage kabisa na kuandika wosia.
Wao wameaga? Kama hawajaaga basi waage na waache wosia.
 
Kesho 'chupa la CCM litaamka na chai'.. CCM itashinda uchaguzi asubuhi na mapema tu...
 
Jana shekhe kapigilia msumari wa mwisho kwenye jahazi lao.

KAKAA BUNGENI SIKU ZOTE LEO NDO AWAKUMBUKE MASHEKHE.

YEYE MWANASHERIA ANAYETETEA MPAKA MAFISADI,LINI AMEWAKUMBUKA HAO MASHEKHE!

ANAAMINI CORONA IPO WAKATI YEYE HAVAI WALA KUFATA TARATIBU ZA KUKABILIANA NAYO

KUTUDANGANYA WAMACHINGA KUA KULIPA 20000 TUNAIBIWA WAKATI UKWELI TUNAJUA WENYEWE UNAFUU UKO WAPI.
Huyo sheikh wako atawadanganya nyie wajinga wenzake wa Lumumba. Kipindi Bunge lipo live, tuliona ni kwa jinsi gani aliwatetea masheikh wa Uamsho wakati akichangia mijadala bungeni katika bajeti za wizara ya sheria na katiba. Hivyo mwambie hawezi kutudanganya
 
Nyie mna jeshi lenye vifaru, bunduki, ndege za kivita, NEC, Msajili... CHADEMA na ACT wana Watanzania wenye damu na nyama tu.
Kadri tunavyokaribia uchaguzi idadi ya wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni inazidi kupungua siyo tu hapa JF bali hata huko facebook, twitter na sehemu zinginezo. Inaonekana wamepima upepo na kuona maji ya Dkt Magufuli ni masafa marefu. Wachache wanaojitutumua wanachangia kwa unyonge sana na kwa kukata tamaa.

Baadhi wameanza hoja za kujifariji na wengine wameanza kutaka kufanyike kikao cha pamoja cha maridhiano kati ya JPM na Lissu kabla ya matokeo kutangazwa. Mwelekeo wa hoja hizi ni angalau Lissu afikiriwe kupewa cheo. Ndugu zangu tukubali tu ukweli kwamba maji ya JPM ni marefu. Baadhi ya wapiga debe wa CHADEMA mmejitahidi kumnadi mgombea wenu kadri mlivyoweza lakini bahati mbaya mlikosea tangu mwanzo. Hamkuchagua mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Mgombea wenu hauziki. Mnajua wenyewe nini watanzania wamesema juu yake na ni kwa nini hakukubalika. Ndiyo siasa ilivyo. Mmejifunza kupitia makosa. Tukutane tena 2025 Mungu akitujalia uzima. Wengi wenu najua tukijaliwa uzima miaka mitano ijayo mtazamo wenu utakuwa umebadilika kabisa na mmekuwa wana CCM ndaki ndaki.

Mtabadilika baada ya kushuhudia makubwa atakayofanya Rais Magufuli kwa Tanzania kwa miaka mitano ijayo. Tuombe uzima. Ushauri wangu, fanyeni uamuzi mgumu, chagueni Dkt Magufuli tarehe 28 Oktoba japo mioyo yenu bado itakuwa migumu, jitahidini tu mmpe kura zenu. Kumpa kura Dkt Magufuli kutawasaidia sana kisaikolojia ndiyo maana wanasema, If you cannot beat them, join them.
 
Ila ccm mnadhambi hiko mnachotaka kukifanya Mungu atawaadhibu
 
Kadri tunavyokaribia uchaguzi idadi ya wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni inazidi kupungua siyo tu hapa JF bali hata huko facebook, twitter na sehemu zinginezo. Inaonekana wamepima upepo na kuona maji ya Dkt Magufuli ni masafa marefu. Wachache wanaojitutumua wanachangia kwa unyonge sana na kwa kukata tamaa.

Baadhi wameanza hoja za kujifariji na wengine wameanza kutaka kufanyike kikao cha pamoja cha maridhiano kati ya JPM na Lissu kabla ya matokeo kutangazwa. Mwelekeo wa hoja hizi ni angalau Lissu afikiriwe kupewa cheo. Ndugu zangu tukubali tu ukweli kwamba maji ya JPM ni marefu. Baadhi ya wapiga debe wa CHADEMA mmejitahidi kumnadi mgombea wenu kadri mlivyoweza lakini bahati mbaya mlikosea tangu mwanzo. Hamkuchagua mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Mgombea wenu hauziki. Mnajua wenyewe nini watanzania wamesema juu yake na ni kwa nini hakukubalika. Ndiyo siasa ilivyo. Mmejifunza kupitia makosa. Tukutane tena 2025 Mungu akitujalia uzima. Wengi wenu najua tukijaliwa uzima miaka mitano ijayo mtazamo wenu utakuwa umebadilika kabisa na mmekuwa wana CCM ndaki ndaki.

Mtabadilika baada ya kushuhudia makubwa atakayofanya Rais Magufuli kwa Tanzania kwa miaka mitano ijayo. Tuombe uzima. Ushauri wangu, fanyeni uamuzi mgumu, chagueni Dkt Magufuli tarehe 28 Oktoba japo mioyo yenu bado itakuwa migumu, jitahidini tu mmpe kura zenu. Kumpa kura Dkt Magufuli kutawasaidia sana kisaikolojia ndiyo maana wanasema, If you cannot beat them, join them.
Ngoja wamalizie kudowload vpn watakuja
 
Wanajitapa humu wakati wanaiba na kuharibu uchaguzi nchi nzima. Sasa Zanzibar huko wanaua watu alafu wanakuja kujitapa humu. Wajiandae tu kumsindikiza magufuli akienda ICC
Ndugu yangu, tii sheria bila shuruti. Usikubali kutumiwa kabisa kama daraja la wanasiasa wa upinzani. La Zanzibar liwe fundisho kwetu.
 
Back
Top Bottom