LOCAL SPONSOR
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 386
- 698
Hello - Local Sponsor.
Nashukuru kwa kujali na kutaka kujua zaidi. Mke wangu alijifungua miezi sita iliyopita, na ilimchukua miezi 3 kuanza period, maumivu ya tumbo huwa yanakuwepo na yamekupo hata kabla ya kujifungua pindi anapokaribia period ila kwa sasa yanakuwa yanamediz kidogo.
Natanguliza shukrani
Nashukuru mkuu MNYOO JOGOO kwa ufafanuzi,nijuavyo mimi huwa inachukua muda kidogo kwa mwili wa mama aliejifungua kurudi katika hali ya kawaida,hakuna muda maalum kwa sababu kila mtu ni unique,kuna wanaowahi na wengine wanaweza kuchelewa kidogo,ninachokushauri ni kwamba mama akimpeleka mtoto clinic wakati wa chanjo ajaribu kuwaeleza wauguzi nao watapima kama ni hali ya kawaida au kama wakiona kuna ulazima watampeleka kwa daktari kwa uchunguzi zaidi.kila la kheri.
Last edited by a moderator: