🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unaweza kukuta wazazi wa muandishi wa uzi wanadhani wana mtoto wa kiume.
Kwa hiyo ndo kadhira hadi hajawaalika kwenye mnuso wakeNasikia kuna "kamgogoro" ka chinichini Tangu Wamkane kwenye ile taaŕifa yake ya kiuchochezi juu ya Mashabiki wa Yanga kuingia kwenye mechi ya Plateau.
Uongozi ulimkana na kusema sio kauli ya klabu kuzuia mashabiki
Kati ya makundi mengi ya wanadamu moja ya makundi ni ANAEJUA KAKOSEA ILA HAKUBALI WAZI lakini akikaa peke yake moyoni anajua kakosea na anajirekebisha, kundi jingine ni ANAEAMINI yeye huwa hakosei na hata hadi watu anao waamini wakimwambia hapa umekosea Basi wanakuwa maadui zake. Manara yupo kwenye kundi moja wapo hapoUmesema kweli, nadhani kitu kimoja hata viongozi wanatamani sana wamuondoe Manara, wanaamini sana kwamba manara anajipatia umaarufu kupitia matangazo mbali mbali na wadhamini sema kinachowazingua ni reaction ya mashabiki Manara ameshajijenga saaana hata wakimuondoa hiyo reaction ya mashabiki sijui itakuaje tu.
Nimeongea hivyo kufuatia ile issues ya Kaduguda kwenda WASAFI then akajisafisha peke ake zigo lolote la lawama akamptupia Manara.
Ni mawazo yangu tu lakini.
Unaonaje aibu mtoto wa kiume au we nawe bwabwa.Ila kama wewe mleta uzi ni mtoto wa kiume asee hebu jicheki asee aibu naona mimi
'Simba ni level moja na Zamalek na pyramid fc za misri"kwani babra anasemaje?
Binafsi naamini kuwa uwezo wa mamba ni kwenye maji so ukimtoa nguvu hiyo hata yy Manara mara kadhaa amesema hii kuwa hakuna mtu maarufu kuliko Simba na yanga mfano hata MO GSM na wengine walipata umaarufu kwa kuwa kwao humo wakitoka nani atawajua? So anajua uzito wa brand ya simbaUmesema kweli, nadhani kitu kimoja hata viongozi wanatamani sana wamuondoe Manara, wanaamini sana kwamba manara anajipatia umaarufu kupitia matangazo mbali mbali na wadhamini sema kinachowazingua ni reaction ya mashabiki Manara ameshajijenga saaana hata wakimuondoa hiyo reaction ya mashabiki sijui itakuaje tu.
Nimeongea hivyo kufuatia ile issues ya Kaduguda kwenda WASAFI then akajisafisha peke ake zigo lolote la lawama akamptupia Manara.
Ni mawazo yangu tu lakini.
Naamini Kwanza tatizo inaanzia na mwaliko je aliwapa sio wajiendee tuKwa hiyo ndo kadhira hadi hajawaalika kwenye mnuso wake