Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia sikia kuwa Dai alipewa high heels ya kichwa na zari zarina hadi damu ikaruka!!
Mkuu nini anarudisha Uganda?Kwahio zari anairudisha uganda sio?
Umbeya limekuwa tatizo sugu kwa vijana wa taifa hili.....
Mungu ana mambo mengi ya kufanya.Mwenyezi Mungu awasimamie wasiachane . Wanapendeza sana kuwa pamoja
Haaaaa haswa ..maana tumechoka kusikiliza upumbavu hii ndo sababu tupo nyuma sana wa tzYalimshinda Winnie na Mandela sembuse hawa?
wewe kila jambo alifanyalo na zari lazima amshirikishe mama na dada zake. Mama yake anapigwa denda na boy friend wake mbele ya Domo na domo anasheherekea tu. Yaani kwa kifupi walikuwa wanashindana nani anapiga denda vizuri zaidi ndani ya nyumba yao. Mtu una mke eti unaenda kuhamishia familia yako yote ndani ya nyumba yenu, where's the freedom? Kila mwanamke anatakiwa kuwa na mji wake ili ajitawale na kuendesha familia yake si extended family iliyojaa vituko.
Ulikua mwaliko wa familia?huenda kuna ukweli maana hata le bungeni domo kazama peke yake
hahahahahMungu ana mambo mengi ya kufanya.
Anyway kwa niaba ya mungu nasema hawata achana
Wasambaa hawana hayo mambo ya kizamani ni wacha Mungu.mshana jr Embu tuambie, hawa wamepigwa juju la kiinaijeria au la kisambaa?
Magumu haya mambo!Haaaaa haswa ..maana tumechoka kusikiliza upumbavu hii ndo sababu tupo nyuma sana wa tz
Hali inaonekana sio shwari kabisa kwenye family ya nguli wa music tanzania. Kimbunga kikali Kilichosababishwa na mapenzi ya wawili (zari na diamond )kinaonekana kikiipiga vilivyo familia hii na kuigawa vipande vipande. chanzo kinasemekana ni ile wolrd tour ambapo mama mkwe na mpora wake waligombana. Imefikia hatua ya bi. Sandra kushirikiana na accounts mbali mbali za wanafamilia wanaomdhihaki zarina kwa ushabiki wa hali ya juu. Za ndani zinasema wanasubiri mtoto aache kunyonya mkeka uchanwe kila mtu aelekee kwao. Inachoma kama pasi kuona penzi alilolisotea madam zari likipepea kama moto wa karatasi.
Maskini zari hana bahati ameiwa fungu la kukosa kwenye mahusiano.
Papuchi!Mkuu nini anarudisha Uganda?
wewe kila jambo alifanyalo na zari lazima amshirikishe mama na dada zake. Mama yake anapigwa denda na boy friend wake mbele ya Domo na domo anasheherekea tu. Yaani kwa kifupi walikuwa wanashindana nani anapiga denda vizuri zaidi ndani ya nyumba yao. Mtu una mke eti unaenda kuhamishia familia yako yote ndani ya nyumba yenu, where's the freedom? Kila mwanamke anatakiwa kuwa na mji wake ili ajitawale na kuendesha familia yake si extended family iliyojaa vituko.