Tetesi: Nini kinaendelea kwa familia ya Diamond 'Dangote'?

Tetesi: Nini kinaendelea kwa familia ya Diamond 'Dangote'?

Tena watu wenyewe waswahiliii
Esma ndoa imemshinda..wao kila dem kwao mbaya basi diamond awaoe wao mtu na mamake ili pesa isiende mbali...
Ma mkww ndio maza house unategenea nn


Domo ana shida....na yule mama anaonekana ni issue tu. Kama ulivyosema, kilichobaki ni kuoa dada zake tu maana hakuna mwanamke atakayekubali kunyanyaswa na mama mkwe na wifi wakati wao ndoa zimewashinda.
 
Kitu ninayoiona hapo zari na diamond bado wapi poa sana ila wapenda kitonga familia ya domo na tatizo kubwa kwa diamond ni kukaa na familia yote kwake hapo maelewano hayawezi kuwepo
 
Upo sahihi kwa kweli,vijana walio wengi kwa sasa,wapo busy na mambo yasiyo na tija katika maisha yao ya kila siku,vijiweni na sehemu mbalimbali wanazokutania mijadala inayoendelea ni umbea tu wa wasanii,stori na ubishani wa mambo ya mpira muda mwingi,hawaumizi vichwa vyao kwa kutafakari mambo ya msingi ya kujikwamua kiuchumi.
 
Na waachane tu,nitafanya party ya kusherehekea.
Maana mashauzi ya yule bibi yamevuka viwango.
Hakuna kitu alichonikera kama vijembe vyake kwa Wema...
Asepeeeee....
Diamond piga chini huyu bibi haraka sana [emoji39]
 
Mama Diamond kazidi hv mtu mtaendaje kurundikana mkwe na wifi kwa mtoto. Wangekuwa na adabu na ustaarabu basi hamna wana midomo hatari. Huyo mama diamond naye kazidi kila saa yuko mgongoni kwa mwanaye mpaka anabore. Hadi boy friend wake analala naye kwa mwanaye. Tandale wametengenezewa nyumba nzuri lkn hawataki wanataka Madale. Yule mama aliruka stage siyo bure. Kila leo sentensi yake ni alipata shida na mwanaye ndiyo amfuate hadi makalioni.
 
Haishauriwi mwanamke kuishi nammwanaume bila ndoa unategemea nini? Huenda Diamond haja yake motto tu!
 
Double standards.
Wewe mbona hujaishi maisha yako?
Ungekaa kimya ingeleta maana.

Shost ubuyu nimeupitia juu juu Insta, wanadai wakati wa Europe tour Zari alizinyaka kuwa Baba T alimsaliti na video queen. Mama T aliamua kama mbwai mwbai akafanya kweli na DJ, mama alichefuka sana. Simo katika shimo.
 
Shost ubuyu nimeupitia juu juu Insta, wanadai wakati wa Europe tour Zari alizinyaka kuwa Baba T alimsaliti na video queen. Mama T aliamua kama mbwai mwbai akafanya kweli na DJ, mama alichefuka sana. Simo katika shimo.
Siku hizi Insta imenitoka sijui kwanini.
Hebu nikausake ubuyu leo.
 
Back
Top Bottom