Nini kinaendelea kwa Makalani wa Moshi vijijini siku 8 kabla ya zoezi la sensa kufanyia? Kamishina wa Sensa Taifa Anna Makinda uje fasta

Nini kinaendelea kwa Makalani wa Moshi vijijini siku 8 kabla ya zoezi la sensa kufanyia? Kamishina wa Sensa Taifa Anna Makinda uje fasta

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Sijui kinachosemwa ni kweli au la?

Kwanza tangu zoezi lianze liligubikwa na malalamiko mengi sana

Mfano Makalani waliokuwa wakifunzwa walilalamikia kupikiwa chakula kibichi uku wakikatwa shilingi elf 5000 Kila siku kwa ajili ya kununua chakula aliyekuwa anapika wanafunzi walipo lalamika akabadilishwa likaisha ilo.

Siku iliyofatia Kuna mwanamke mmoja ambae hakutambulika kama mnavyo jua Hali za kiafya za jinsia ya kike Huwa suala la kuingia kwenye Siku zao yupo mmoja aliingia siku zake ghafla akaenda maliwatori akadumbukiza vijikingio vyao, chooni laaaaaura choo kikaziba uwezi amini Makalani WA jinsi ya kike wote walilazimishwa kuchangia shilingi 500 piga hesabu mara Makalani 100 SAWA na sh ngap?

Kama haitoshi Sasa ya leo ndo Kali wamekusanywa Makalani wote kwa maana ya wale walio kuwa wameambiwa wapunzike waliambiwa waende wataitwa kuja kupewa vifaa vya kazi watu wapo kwao wanajiandaa, kufata vifaa Leo wameitwa wanaambiwa wanaenda lipwa posho zao kumbuka waliwaoigisha kwata na kuwapa pesa kiduchu Leo weitwa wakasaini wanafika wanaambiwa Kuna mchujo wa kazi yaani Makalani walio pewa mafunzo na kusubilo Leo walipwe wasubiri kazi Leo wanachujwa

Hii sio hujuma?
Rai Kuna changamoto ya uratibu wa zoezi Ili kuanzia ofisi ya mkurugenzi wa halimashauri na DC kwa ujumla ebu usalama na takukuru ingawa(takukuru Kilimanjaro inastaili kichapo maana wakazi wa huku hatuna Imani nayo,ebu chunguzeni mchakato wa kupatikana kwa mpishi wa kupika Makalani,njooni kwenye zoezi lote, alafu mwisho chunguzeni mchakato wa upatikanaji wa magari ya kubeba Makalani ulivyoendeshwa mtanielewa nn Nina amanisha.

Nilipoona Makinda kapewa ukamisheni nikajua hapa ni full politics tu hakuna la maana litafanyika.
 
Nimeulewa uzi. Lakini kwa kuwa nimeona marudio naomba nitoe marekebisho. Ni kamisaa wa sensa sio kamishna
 
Asanteni kwa marekebisho ila mmeelewa sio?
 
Kamisa ni mc, nbs ina mtendaji mkuu anayewajibika kwa katibu mkuu wa of ya w mkuu.

Hayo madudu ni kwa nchi nzima.

Tatizo ni usalama wa ccm kushindwa kubaini changamoto. Kama huwa wanashauri na hawasikilizwi "waruhusu" ccm kufutwa kazi.
 
Bila Shaka na wewe ni mmoja wa hao makarani.

Inaonekana una hoja ya msingi unataka kuiwasilisha. Unatakiwa ukae chini utulie halafu upangilie hoja zako vizuri na utumie lugha fasaha ili ueleweke vizuri.

Kama wewe ni mmoja wa hao makarani wa Moshi vijijini, napata mashaka na ubora wa takwimu zitakazo kusanywa na aina ya makarani kama wewe
 
Bila Shaka na wewe ni mmoja wa hao makarani.

Inaonekana una hoja ya msingi unataka kuiwasilisha. Unatakiwa ukae chini utulie halafu upangilie hoja zako vizuri na utumie lugha fasaha ili ueleweke vizuri.

Kama wewe ni mmoja wa hao makarani wa Moshi vijijini, napata mashaka na ubora wa takwimu zitakazo kusanywa na aina ya makarani kama wewe
Nikutoe tongo tongo Mimi swezi na sio miongoni mwa Makalani hao kamwe mkuu na laiti ningelikuwa miongoni mwao huo ujinga nisingefanyiwa maana mkurugenzi Huyu namjua vilivyo
 
Hapo moshi hakuna viongozi mpaka umwite kamishna wa sensa?
 
Bila Shaka na wewe ni mmoja wa hao makarani.

Inaonekana una hoja ya msingi unataka kuiwasilisha. Unatakiwa ukae chini utulie halafu upangilie hoja zako vizuri na utumie lugha fasaha ili ueleweke vizuri.

Kama wewe ni mmoja wa hao makarani wa Moshi vijijini, napata mashaka na ubora wa takwimu zitakazo kusanywa na aina ya makarani kama wewe
Naisi Wewe ni miongoni mwa vitoko mnaon fanya ujinga huu mwambie mkurugenzi aliwashinda madiwani ila Anna Makinda ana taarifa zake dhidi ya uhujumu anao ufanya kwa zoezi ili
 
Yani kamishina aje fasta kwasababu mtu kachangishwa sh 500 ya kuzibua vyoo? Wakati mwingine waalimu huwa mnatafuta kudharaulika
 
Yani kamishina aje fasta kwasababu mtu kachangishwa sh 500 ya kuzibua vyoo? Wakati mwingine waalimu huwa mnatafuta kudharaulika
Nani mwalimu mkuu?labda uniite jina la mwenda zake, mwalimu mkuu wa jamii Aise sikujua kama alikufa. Huyu Mzee.
 
Spika mstaafu na wigi lake kama fungu la matembele kazi kusifia tu kuwa mchakato unaenda vema.

Hii itaharibu kila kitu maana hao makarani wapo wazimwa morale yao kwa kasi ya ajabu
 
Wewe mtoa mada Acha uchonganishi.Kwanza huna uhakika na unachokisema maana sio miongoni mwa makarani.Sasa unakujaje kulalamika huku Jf hali ya kuwa huna uhakika?
 
Back
Top Bottom