Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Naomba kudadisi wataalamu mbalimbali watujuze nini kinafanya taifa hili kufanya vizuri katika section zake hadi kupelekea kuwa taifa kubwa na imara. Taifa hili la kibeberu limepiga hatua kubwa sana katika mambo yake, elimu, sanaa, technolojia, jeshi, huduma za kijamii kama afya mpaka dhambi taifa hili linaongoza.
Nini kipo nyuma ya hili taifa la kibeberu, watu wake, geografia, uchawi, mungu au nini. Taifa hili linaongoza kuchukiwa ni vitaifa vidogo maana huvishushia laana zake na kuviacha vikilia. Kinachonichosha ni namna ambayo sector binafsi inanguvu sana huko, mpaka kuwa na makampuni binafsi yanayotengeza silaha.
Pesa yake ina nguvu sana kiasi cha kutumiwa na mataifa mengi katika biashara zao za kimataifa. Na ushamba wangu nimekuta dola ikitumika huko Congo DRC nikabaki najiuliza why? Wataalamu nisaidieni.
Kumekuwa na mjadala kuwa mataifa pinzani yanataka kuongusha matumizi ya hii sarafu, je, wataweza? Je, ni kweli vitaifa dagaa vinalazimishwa kutumia hii sarafu au lah! Wajuvi tusaidieni wenye kupenda kuelimika na kujifunza.
Nini kipo nyuma ya hili taifa la kibeberu, watu wake, geografia, uchawi, mungu au nini. Taifa hili linaongoza kuchukiwa ni vitaifa vidogo maana huvishushia laana zake na kuviacha vikilia. Kinachonichosha ni namna ambayo sector binafsi inanguvu sana huko, mpaka kuwa na makampuni binafsi yanayotengeza silaha.
Pesa yake ina nguvu sana kiasi cha kutumiwa na mataifa mengi katika biashara zao za kimataifa. Na ushamba wangu nimekuta dola ikitumika huko Congo DRC nikabaki najiuliza why? Wataalamu nisaidieni.
Kumekuwa na mjadala kuwa mataifa pinzani yanataka kuongusha matumizi ya hii sarafu, je, wataweza? Je, ni kweli vitaifa dagaa vinalazimishwa kutumia hii sarafu au lah! Wajuvi tusaidieni wenye kupenda kuelimika na kujifunza.