Nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?

Nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?

Nkondo 2

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
181
Reaction score
144
Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?

Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo?

Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani?
 
Ni paa ile senta canch anaweka labda cm 270 au 300 .
Au inategemea baada ya linta juu linta tena anapitisha kozi 3 za tofali.
Na kama ndani umeona chumba kirefu ni ile blandering inapigwa juu kabisa (nchi 3 kutoka juu mwisho wa tofali mbao inapita)

Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh Sawa mkuu umeniongezea uelewa, nashukuru
 
Ni paa ile senta canch anaweka labda cm 270 au 300 .
Au inategemea baada ya linta juu linta tena anapitisha kozi 3 za tofali.
Na kama ndani umeona chumba kirefu ni ile blandering inapigwa juu kabisa (nchi 3 kutoka juu mwisho wa tofali mbao inapita)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio hivyo inawezekana ardhi ilipojengwa hiyo nyumba ina rutuba sana hivyo hiyo nyumba inaendelea kukuwa.
 
Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??

Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Urefu wa tofali na mortar baina ya course moja na nyingine.
Mortar ni ule udongo unaowekwa chini kabla ya tofali kulazwa , kama fundi hayupo makini anaweza akaweka layer kubwa ya mortar , hii huwa inasababisha nyumba kuonekana ndefu pia
 
Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??

Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Idadi ya kozi za msingi. Wengine wanaweka kozi 3, wengine hadi 7 lazima uione tofauti.
 
Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??

Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Noted
 
Urefu wa tofali na mortar baina ya course moja na nyingine.
Mortar ni ule udongo unaowekwa chini kabla ya tofali kulazwa , kama fundi hayupo makini anaweza akaweka layer kubwa ya mortar , hii huwa inasababisha nyumba kuonekana ndefu pia
Umeeleweka mkuu, shukran
 
Back
Top Bottom