Oooh Sawa mkuu umeniongezea uelewa, nashukuruNi paa ile senta canch anaweka labda cm 270 au 300 .
Au inategemea baada ya linta juu linta tena anapitisha kozi 3 za tofali.
Na kama ndani umeona chumba kirefu ni ile blandering inapigwa juu kabisa (nchi 3 kutoka juu mwisho wa tofali mbao inapita)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio hivyo inawezekana ardhi ilipojengwa hiyo nyumba ina rutuba sana hivyo hiyo nyumba inaendelea kukuwa.Ni paa ile senta canch anaweka labda cm 270 au 300 .
Au inategemea baada ya linta juu linta tena anapitisha kozi 3 za tofali.
Na kama ndani umeona chumba kirefu ni ile blandering inapigwa juu kabisa (nchi 3 kutoka juu mwisho wa tofali mbao inapita)
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja ndugu wee kama unataka iwe ndefu mwambie fundi ukimaliza kufunga linter juu ya linta aweke kozi 3 tena za tofali na siku unapaua mtafute fundi mwambie anataka paa linyanyuke hapo utafurahia mwenyeweOooh Sawa mkuu umeniongezea uelewa, nashukuru
Duu.Kama sio hivyo inawezekana ardhi ilipojengwa hiyo nyumba ina rutuba sana hivyo hiyo nyumba inaendelea kukuwa.
Na kama kakushinda Tabia wewe Wa Stendi Mimi ndo Bila bila kabisa.
Baba la baba hapo umeua..!Kama sio hivyo inawezekana ardhi ilipojengwa hiyo nyumba ina rutuba sana hivyo hiyo nyumba inaendelea kukuwa.
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??
Urefu wa tofali na mortar baina ya course moja na nyingine.Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??
Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Idadi ya kozi za msingi. Wengine wanaweka kozi 3, wengine hadi 7 lazima uione tofauti.Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??
Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Kwa kweliNa kama kakushinda Tabia wewe Wa Stendi Mimi ndo Bila bila kabisa.
NotedNaomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu?
Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na nyingine ni fupi, je shida hua ni nini Hadi kuleta utofauti huo??
Napenda kujenga nyumba ndefu ambayo inaleta mwonekano mzuri nje na ndani mzunguko wa hewa n mkubwa je natakiwa nizingatie mambo gani????
Asante kwa wazo.Paa ikipanda juu inafanya mzunguko wa hewa kuwa mzuri
SawaaIdadi ya kozi za msingi. Wengine wanaweka kozi 3, wengine hadi 7 lazima uione tofauti.
😃😀Kunywa Mirinda Ya Chupa Upooze KooKama sio hivyo inawezekana ardhi ilipojengwa hiyo nyumba ina rutuba sana hivyo hiyo nyumba inaendelea kukuwa.
Umeeleweka mkuu, shukranUrefu wa tofali na mortar baina ya course moja na nyingine.
Mortar ni ule udongo unaowekwa chini kabla ya tofali kulazwa , kama fundi hayupo makini anaweza akaweka layer kubwa ya mortar , hii huwa inasababisha nyumba kuonekana ndefu pia
Yah unalinganaUkubwa wa tofali unalingana?