Nini kinafanya uwe wewe? Ubongo? Mwili? Roho? Ufahamu wako?

Nini kinafanya uwe wewe? Ubongo? Mwili? Roho? Ufahamu wako?

Ukinisoma vizuri naposema ubongo nakuwa naongelea system ile ya ubongo ikiwemo spinal cord. Katika full body transplant ingawa haijafanywa bado lakini surgical procedures lazima zihusishe kuhamishwa kwa ubongo mzima ukiwa na spinal cord kama njia rahisi ya ku-ensure ufanyaji kazi wake kwa ufanisi baada ya operation. Njia ngumu ni kuikata spinal cord na kujaribu kuiunga na kipande cha ya yule organ donor. Ni mifano katika fikra bado ila inapelekea concept sahihi katika hoja ya mada hii.

Kudevelop kitu kingine tofauti na hivi viwili itamaanisha third and fourth person out of the swap!! Hii haiko sahihi kama utaangalia vizuri hii mifano. Information za huyu na za yule zitabaki kuwa information za aina mbili kamwe haziwezi kutokea za mtu mwingine wa tatu na wa-nne out of nowhere. Katika experiments hizi data za watu hawa hazichanganywi bali zinabadilishwa kutoka kwa huyu kwenda kwa huyu and vice-versa.

Mmmh! Itawezekana vipi kutoa ule udude wa ndani ya uti wa mgongo na kuupandikiza kwenye uti mwengine ukizingatia ule uko kama viloli? ukumbuke ukubwa na udogo wa vile vidude unategegemea na umbo la mtu. kwa maana nyengine kunabinadamu wapana (i know unene wa nyama sio issue) na wembaba pia kuna warefu na wafupi. Sasa itakuwaje kukiwa na tofauti hizo? let say mtu mfupi and/or mwembamba atawekwaje vile vigololi vya mtu mpana and/or mrefu?

Siwezi kusema haiwezekani at all coz wakitumia operation hiyo kwa watu wanaolingana umbo inaweza ikawezekana but risk ya hali ya juu mtu kufumuliwa uti wa mgongo. Sijui unaliongeleaje hilo.

But if wakifanikiwa kupandikiza kichwa na vilololi vya uti wa mgongo mtu husika ni huyo mwenye kichwa na vigololi vyake vya uti wa mgongo. let say yule mwanasoka atahitaji mazoezi tu ya mwili kuendelea na kabumbu kama alivyokua ikiwa mazoezi hayatomletea matatizo kutokana na uperation alizofanyiwa.
 
Mmmh! Itawezekana vipi kutoa ule udude wa ndani ya uti wa mgongo na kuupandikiza kwenye uti mwengine ukizingatia ule uko kama viloli? ukumbuke ukubwa na udogo wa vile vidude unategegemea na umbo la mtu. kwa maana nyengine kunabinadamu wapana (i know unene wa nyama sio issue) na wembaba pia kuna warefu na wafupi. Sasa itakuwaje kukiwa na tofauti hizo? let say mtu mfupi and/or mwembamba atawekwaje vile vigololi vya mtu mpana and/or mrefu?

Siwezi kusema haiwezekani at all coz wakitumia operation hiyo kwa watu wanaolingana umbo inaweza ikawezekana but risk ya hali ya juu mtu kufumuliwa uti wa mgongo. Sijui unaliongeleaje hilo.

But if wakifanikiwa kupandikiza kichwa na vilololi vya uti wa mgongo mtu husika ni huyo mwenye kichwa na vigololi vyake vya uti wa mgongo. let say yule mwanasoka atahitaji mazoezi tu ya mwili kuendelea na kabumbu kama alivyokua ikiwa mazoezi hayatomletea matatizo kutokana na uperation alizofanyiwa.
Mashaxizo, Thought experiments are devices of the imagination used to investigate the nature of things. They are used for diverse reasons in a variety of areas, including economics, history, mathematics, philosophy, and the sciences, especially physics (Encyclopedia of Philosophy). Scenario zinazoainishwa ninakuwa na sense of possibility ndo maana kwanza tunaanzia kwenye organ transplants - ni possible, lakini tunaenda mbali zaidi kwa kuengemea hapa kwenye sense hii na kujenga majaribio ya kifikra. Bila majaribio haya hatuwezi kuelewa wala kuchanganua mambo magumu ambayo hayako kwenye mizani ya kawaida ya vipimo wala observation. Asante
 
Mada ya zamani kidogo lakini ngoja nisipite bila kutia neno.
Akili ni uwezo wa mtu kujitambua, uwezo wa mtu kureason uwepo wake na uhusiano baina yake na mazingira, akili ni software ndani ya UBONGO. Kwa maana hiyo basi, nafsi ni zao la kufikirika la ubinafsi utokanao na kujitambua kwa mwanadamu, yote hii inafanyika ndani ya ubongo. Leo hii ukihamisha ubongo wangu ukauweka ndani ya kichwa cha binadamu mwingine, then ukawasha power generator (moyo), if everything goes right na hardware (ubongo) ikawaka bila kuwa imepoteza memory basi nitajiona mimi lakini nitajishangaa mwili si wangu. UBONGO WANGU NA KUMBUKUMBU ZILIZOMO NDIYO MIMI HUYO.
 
Mtoa Mada Usisahau Kunialika Next Tym, Napenda Sana Mada Za Kufikirisha Kama Hizi Lakini Nyingi Nazikutia Mkiani.
 
jf sio.kitambo sana ila ilikua kufungua bila kupitia jf intelejensia ilikua ni kama kupika mboga bila kuonjA ilikua impossible
mkuu monstagla wherever you are just come back
plz mkuu mshana endeleza madarasa kwa vijan mkuu eiyer na wengine wengi tuliowakuta jf
ilove you jf ilove you all
 
jf sio.kitambo sana ila ilikua kufungua bila kupitia jf intelejensia ilikua ni kama kupika mboga bila kuonjA ilikua impossible
mkuu monstagla wherever you are just come back
plz mkuu mshana endeleza madarasa kwa vijan mkuu eiyer na wengine wengi tuliowakuta jf
ilove you jf ilove you all

Shukrani, nimerudi baada ya muda mrefu kidogo 🙂
 
Ni vigumu kujua roho ni nini dhats why ni vigumu kujua inakaa wapi mwilini
 
Shukrani, nimerudi baada ya muda mrefu kidogo 🙂
Mkuu naomba unisaidie hili

Ikiwa umechukuliwa ubongo wa mwanaume (lijali) ukawekwa kwa mwanamke vivyo hivyo wa mwanamke ukawekwa kwa mwanaume je hapa baada ya kujitambua zitakuja hisia za aina gani?
 
madaktari wamewahi kufanikisha operesheni nyingi kubwa na ngumu,ila hawajawahi kuunganisha shingo ya mtu iliyopata kukatwa au kutenganishwa na kichwa.nina maana kichwa cha mtu kina siri kubwa kwamba hakuwahi mtu kukatwa kichwa akatibiwa kivyovyote.hua ndio mwisho wake.sasa labda siri ya mtu au binaadamu yaweza kuwepo shingoni kuelekea kichwani,haswa kichwa,naomba kutoa hoja.
 
Kati ya vinne nachagua " ubongo" ubongo ni kila kitu ,bila ubongo huwezi kuwa wewe . Ubongo unatawala moyo ili uweze kusukuma damu mwilini. Kufa kwa mtu ni wakati ubongo unapoacha kufanya kazi na sio moyo unapoacha kufanya kazi. Kinachokufanya uwe "wewe" kipo kwenye ubongo . Hata wachawi wanacheza na ubongo ili kuharibu utu wako .May be the soul is the brain , when the soul comes out from the body then is the end of life
 
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini huwa tunasemaga “aisee mwili wangu unaniuma?!”

Ukitafakari vzr utagundua kumbe kuna anaemiliki mwili na ndo anaesema “mwili wangu” Huyo ni nani!???
I dont knw if my point makes sense.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kumbuka kitu kimoja humu dunian kila kitu kinategemea kitu flani ili kuishi au kufanya kazi yake.
Kwa iyo ili mimi niwe mimi lazima Ubongo, Mwili, Roho, Ufahamu n.k viwepo na Vifanye kazi zao kwa ufasaha na kwa ushilikiano vinginevyo mimi si mimi tena.

Ndio maana tunakufa ikitokea kitu kimojawapo kime fail kufanya kazi yake.

Kifupi ni kwamba mimi ni kila kitu kilichako ndani yangu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom