India bado sana siyo kuipata, hata kuifikia Japan.
Japan hawazaliani kama nzi, tofauti na wachina na wahindi.
Kinachotokea hapo ni sawa na familia yenye watu 5, kwa mwaka wanapata milioni 100, halafu kuna familia ya machokraa ina watu 50, halafu kwa mwaka wanapata milioni 110, halafu familia ya machokoraa inatamba kuwa imeizidi hiyo familia ya watu 5.
Japan's GDP per capita is much higher than India's:
- Nominal GDP per capita
In 2024, Japan's nominal GDP per capita is USD $33,138, while India's is USD $2,698.
Hali ya mwananchi wa India ni aheri ya mwananchi wa Botswana au Namibia. Ndiyo maana wahindi na wachina unawaona wanazurura hovyo Dunia nzima kuhangaika ili wapate chochote maana nchini kwao maisha ni magumu kupindukia.
Chuo kikuu kile cha ST Joseph waliajiri lecturers toka India kwa mshahara wa dola 500 kwa mwezi.