Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Inaleta mkwamo katika maamuzi.hivi fear inaweza ikakukwamisha kabisa?
say no to that baby girl
jaribu kuwaza in a positive waysInaleta mkwamo katika maamuzi.
Ni kwamba nawaza itakuwaje endapo nitashindwa..
When it comes to failure,the higher the risk the greater the loss.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nitajaribu,[emoji4][emoji120]jaribu kuwaza in a positive ways
weka ushindi mbele usiogope changamoto face the fear get through it and reach your goals
Unaweza kuwekeza kwenye biashara ambayo ipo na ina msimamizi tayari. Au ubaweza tafuta mtu mwenye wazo zuri, ukawekeza fedha na muda wako wa ziada kama co founder. Mfano unakuta mtu ni Director mahali ana uzoefu wa kiuongozi na usimamizi. Pesa anazo. Anashindwaje kupata kijana passionate na kuwekeza fedha na kumsaidia usimamizi kwenye biashara ambayo let say ana 49% ya hisa?Biashara inahitaji usimamizi. Na hicho ndicho kinacho tufanya wafanyakazi wengi kuogopa. Lakini pia wengi tunakosa wazo bora la biashara.
Na badala yake tunaigana igana tu! Jambo hili huchangia sana kushindwa na kukata tamaa mapema.
Hizi sio level zetu. Hebu tuzungumzie biashara za chips na mishkaki nami nipate pate point.Yes ndio biashara ya wavivu wa kufikiri hio always wanakimbilia kujenga nyumba za kupangisha raia!
Its a good business tho na haina hasara kama utaweka strong and strict management ila inapendeza uifanye on a prime area lasivyo payback period yake inachukua muda mrefu sana! Kwangu hii naiona ni biashara inayowafaa wenye hela ndefu ambaye anaweza akasimamisha floor hata 7-10 kwenda hewani! Ni sehemu ya kutunzia hela ambayo huihitaji kwa haraka!
Ila uzuri wake mwengine ni kuwa inaanza kukupa kodi straightaway ukiingiza mpangaji tu! Hiki ndio watu wanapenda
Yes, ni mji unaokua. Hata Mmaekani alikltaka kuweka real estate ya ukweli. Wachawi wakagoma.Hahahah hivi Kigamboni kuna potential kibiashara?
Mkuu nifungulie kule nina kaujumbe kakoNawapenda balaa....mie zinanipaga nguvu mno....
Nimekukumbuka juzi tu..nikasema haya masukumagang yatakuwa yamekufa😀😀Mkuu nifungulie kule nina kaujumbe kako
WAPE MWONGOZO FASTA MKUU¡!!Siku zote mwanzo mgumu...