Uchaguzi 2020 Nini kinampa Kheri James wa UVCCM kiburi cha matamko hatari?

Uchaguzi 2020 Nini kinampa Kheri James wa UVCCM kiburi cha matamko hatari?

MtuHabari

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
321
Reaction score
1,019
Kabla ya hata uchaguzi na harakati zake kuanza, mwenyekiti wa Vijana wa CCM, Kheri James amekuwa akitoa matamshi hatarishi yenye viashiria vyote vya ugomvi.

Ajabu ni kuwa hata sasa wakati wa kampeni za uchaguzi zikiendelea huku viongozi mbalimbali wa serikali, vyama, dini na hata wanadiplomasia wakisisitiza amani huyu kijana ameonekana akiendelea kutoa matamshi hatari ikiwa pia na kusema hata Lissu anaweza kupigwa sindano ya sumu akiwaletea za kuleta.

Nini kinampa kiburi hadi watu washindwe kuchukua hatua dhidi yake hata ndani ya CCM ambao nadhani matamshi hayo hawayapendi kwani kiburi hicho ndio kinacho sababisha wanatupwa mkono na wananchi.

Ni kweli ni huo undugu pekee na Magufuli ndio adili ya kiburi na pia chama kushindwa kimdhibiti?

Mbona wanajimaliza?
 
Take note.

"Akileta za kuleta" katika taifa.

May be anazungumzia "Uhaini" na hukumu ya "uhaini" ni kifo. So instead of "Kunyongwa hadi kufa" Wanaweza tumia sindano yenye sumu kutekeleza adhabu hiyo endapo itathibitika pasi na shaka kuwa katenda kosa hilo.

But, sometimes wana be provoked na maneno ya bwana T. Lissu.
 
Siyo huyo tu kuna mwingine anaitwa single Leonard yaani ukisikia anamkaripia Lissu au Zitto utadhani cjui jamaa ni mkuu wa majeshi ya Afrika.
Na ndio maana magu anawadharau, anateua wapinzani huku wenyewe wakibaki kupiga kelele majukwaani.

Colombia kuna style ya Los Pepes yaani mwanasiasa wa chama tawala hta hawahangaiki naye. Wanamchinja mwanae kama kuku, unadhani upuuzi utaendelea?

Kuna watu wanakera sana na hapa hutoona NEC au viongozi wa Dini wanapiga kelele.
 
Take note.

"Akileta za kuleta" katika taifa.

May be anazungumzia "Uhaini" na hukumu ya "uhaini" ni kifo. So instead of "Kunyongwa hadi kufa" Wanaweza tumia sindano yenye sumu kutekeleza adhabu hiyo endapo itathibitika pasi na shaka kuwa katenda kosa hilo.

But, sometimes wana be provoked na maneno ya bwana T. Lissu.
Kwa hiyo yeye amekuwa mahakama siyo??
 
Back
Top Bottom