Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeee !!Naye mtoto wa dada...
Ana undugu na jiwe?Ni kweli ni huo undugu pekee na Magufuli ndio adili ya kiburi na pia chama kushindwa kimdhibiti?
Kuendesha nchi kifamiliaAna undugu na jiwe?
Niliona clip yake moja ni full kichefuchefu.. anasema:
"...ccm tukiamua kuleta maendeleo (eneo fulani) tunaleta, tukiamua hayaji, na cha kutufanya HAKIPO..!
...ninayo, nashindwa kui-upload hapa
Mjomba wake ndie anampa kiburi,thus tunataka kuondoa Utawala wa familiaAna undugu na jiwe?
Niliona clip yake moja ni full kichefuchefu.. anasema:
"...ccm tukiamua kuleta maendeleo (eneo fulani) tunaleta, tukiamua hayaji, na cha kutufanya HAKIPO..!
...ninayo, nashindwa kui-upload hapa
Kwa nta zilizoko maskioni hutoweza kusikia Mkuu.Matamshi yake ungeyabandika hapa ingekua poa zaidi
Mnaleta ukabila - mmeishiwa hoja na pia mmesahau kwamba James ni jina la kizungu siyo ubini wa mwafrika!Doto James
Shari James
Manyanga construction
Kichaa kwelikweli
Mahela nk wote ni imbone la kuree!
Hawapaswi kuwa uraiani
Kwa nta zilizoko maskioni hutoweza kusikia Mkuu.
Kama hujui kaa kimya. Kuna ugumu gani kujua watu Flani ni ndugu??Kwahiyo majina yakifanana na lazima muwe ndugu ? Acha ufala wew
Kubwa naliona ni ukosefu wa mahadili ya uongozi, kuwa karibu au ndugu kwa kiongozi wa kitaifa haiwezi kua rungu ya matamshi yenye misingi ya kuhatarisha amani,mbona maneno haya hatukuyaona nyuma kwa wenyeviti wa uvccm,hata kwa watoto wa viongonzi hatukuyaona mfano RIdhiwani pamoja na kua alikua na mtandao mkubwa kuanzia wakuu wa wilaya mpaka mkoa ila alikua busy na Mambo yake,Kabla ya hata uchaguzi na harakati zake kuanza, mwenyekiti wa Vijana wa CCM, Kheri James amekuwa akitoa matamshi hatarishi yenye viashiria vyote vya ugomvi.
Ajabu ni kuwa hata sasa wakati wa kampeni za uchaguzi zikiendelea huku viongozi mbalimbali wa serikali, vyama, dini na hata wanadiplomasia wakisisitiza amani huyu kijana ameonekana akiendelea kutoa matamshi hatari ikiwa pia na kusema hata Lissu anaweza kupigwa sindano ya sumu akiwaletea za kuleta.
Nini kinampa kiburi hadi watu washindwe kuchukua hatua dhidi yake hata ndani ya CCM ambao nadhani matamshi hayo hawayapendi kwani kiburi hicho ndio kinacho sababisha wanatupwa mkono na wananchi.
Ni kweli ni huo undugu pekee na Magufuli ndio adili ya kiburi na pia chama kushindwa kimdhibiti?
Mbona wanajimaliza?
Mkuu mama D, najua wenda ni mfuasi na kada ila ndugu yangu, matamshi ya huyu kijana mnatakiwa kuyakemea ,anatoa matamshi ambayo hata mh bashiru au pole pole hawezi kuyasema,inakuaje utishie mgombea urais, rais alafu uangaliwe,kwamba unapiga sindano fyuu,Matamshi yake ungeyabandika hapa ingekua poa zaidi
Nilijua tuna "Vijazi" kumbe kuna mafia ya kina "Vijames" (LoL) ya Pombe.Heri James
Doto James
James mayanga
Hiyo ndio inner cycle
Mwenye kufahamu majina yao ya ukoo aweke hapa MF. John pombe Joseph Magufuli. Haiwezekani wafiche majina ya ukoo Kama hawana Nia ovu.Heri James
Doto James
James mayanga
Hiyo ndio inner cycle
Oyeye nae pia amekaa kama kijana mzalendo na kutoa matamko kama vijana.maaana naona Chaddem huwa wanaona vijana wanao wao tu.bila kusahau kuna vijana wa ccm nao wapo vizuri tu sema wanaheshim katiba na sheria.anatoa wito kuwakumbusha wasijionee ni vijana peke yao, na wanaweze kufamya uhuni wakidhan hakuna kundi la vijana linaloweza ku kaunta meshaz michezo yao.
vijana wapo macho