Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola gani? wakati ufalme wake umeshafitunika!!! Jiwe hana nguvu tena!! watu hawataki kujionyesha wazi!! lakini huungwi mkono na watu wengi! Subiri uje uone kipigo atakachopewa tar 28, hataamini!!Mkuu wa dola yuko nyuma yao! Huenda ndiye anayewatuma.
Ipo siku ukweli utajulikana huenda wakafuatana na wanaomtuma Kule ICCHahaha sikuizi ana kaofisi kake pale mulkenuym towers at hata akienda kuttuma vocha kuna wapumbavu wanamlinda pumbavu
Matamshi yake ungeyabandika hapa ingekua poa zaidi
Mkuu embu tuapize hapa tufanye jamboDugu moya...!!!
Ndio wewe sio sasa ngoja tuwachemshie dawaKwahiyo majina yakifanana na lazima muwe ndugu ? Acha ufala wew
Hawa watu ni wajinga sana sijuwi kwanini wana jisahau hivi Baraka nyingine hugeuka kuwa nuksi bora Magu asingepata urais wangekuwa na kheri ila wanakuja kuishia pabaya sanaKwa sababu Kaka wa Mama yake ni Rais, na Kaka yake ni Katibu Mkuu Hazina, basi Mjinga Kheri James anajiaminisha kuwa nchi hii Sasa ni kama Ranchi ya Mjomba wake kule Karagwe aliyoijenga kwa kuwapora Wananchi Ardhi
walisha mhukumu kufa siku nyingi Mungu akatenda muujiza, wanamtest Maulana badala ya kuhukumu wanaweza kujikuta wanahukumiwa, Mdomo ni mali yao lakini waangalie sana unaweza ukawatesa milele.Take note.
"Akileta za kuleta" katika taifa.
May be anazungumzia "Uhaini" na hukumu ya "uhaini" ni kifo. So instead of "Kunyongwa hadi kufa" Wanaweza tumia sindano yenye sumu kutekeleza adhabu hiyo endapo itathibitika pasi na shaka kuwa katenda kosa hilo.
But, sometimes wana be provoked na maneno ya bwana T. Lissu.
James RodriguezHeri James
Doto James
James mayanga
Hiyo ndio inner cycle
James Rodriguez
James Bond
Le Bron James
Heri James
Doto James
James mayanga
Hiyo ndio inner cycle
Mshamba kama uncle wake!!Mpwa anajiona taifa ni mali ya familia yao.
Mwenzio aliorozesha kina jemus ambao ni ndugu wa jiwe!! wewe umeleta kituko!!!St Jame's Park