Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:
....Kanda Maalum....
 
Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:

IMG-20180927-WA0020.jpg
Usuperstar kazi.
 
usupastaa n mzigo w mwiba ukiubeba unaumia.. aendlee kukaza tu ,kunywa sumu sio suluhisho.
 
Huyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi

Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Kaka watu wa kanda yao ni wababe Mim mwenyew yamenikuta, wajuaji Sana alaf ndoa zao familia mzima inahucka Kwa maamuz
 
Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:


Labuda anafikiria yule wa clouds fm alivyomkojoza bado karoho kake kanamuuma
 
Ni ngum sasa sisi kuvaa uhusika na kutoa jibu juu ya swali lako.
 
Huyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi

Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Utakua unamfahamu vizuri,hata akiwa anahojiwa anapanic haraka maswali ya kuhusu mahusiano yake!Kuna kipindi wakati yupo poa na Clouds alikua anahojiwa na Dina unahisi kabisa watangazaji wanamuogopa!!Atakua ameshazinguliwa na Marioo wa kipopoo
 
Back
Top Bottom