Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
- Thread starter
- #21
Wewe Mwana Mtoka PabayaNina kasumu kalibakia home kwangu kama atahitaji, maana kataeksipaya bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Mwana Mtoka PabayaNina kasumu kalibakia home kwangu kama atahitaji, maana kataeksipaya bure
Si ni Mwenyeji wa Mara jameni.Ndio maana anaishia kuumizwa kwenye mapenzi na 'ubabe' unamponza...
Lakini Gadner Habbash Mwenzako alikufa akaoza tepetepeTatizo amefanana sana na baba yake,kumvumilia kuwa nae inahitaji moyo wa chuma aisee!
....Kanda Maalum....Wakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet:
Wakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet:
Kaka watu wa kanda yao ni wababe Mim mwenyew yamenikuta, wajuaji Sana alaf ndoa zao familia mzima inahucka Kwa maamuzHuyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi
Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Wakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet:
Jamani yani...maneno makali..
Hiyo retweet ya jamaa hapo chini ni noma.
Utakua unamfahamu vizuri,hata akiwa anahojiwa anapanic haraka maswali ya kuhusu mahusiano yake!Kuna kipindi wakati yupo poa na Clouds alikua anahojiwa na Dina unahisi kabisa watangazaji wanamuogopa!!Atakua ameshazinguliwa na Marioo wa kipopooHuyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi
Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo