Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya maisha tu mkuu, usipende maneno ya kejeli ajajiumba wala ww ujajiumbaTatizo amefanana sana na baba yake,kumvumilia kuwa nae inahitaji moyo wa chuma aisee!
njaa zinakufanya ujione malaika,acha kuwa mjinga..haya maisha tu mkuu, usipende maneno ya kejeli ajajiumba wala ww ujajiumba
endeleza kejeli mkuu kwa kuwa tu umeshiba basi kejeli zinakutoka tunjaa zinakufanya ujione malaika,acha kuwa mjinga..
Kwa kifup ni mpuuzNdio maana anaishia kuumizwa kwenye mapenzi na 'ubabe' unamponza...
Nan alikwambia ukaoe kwa hao wapuuzKaka watu wa kanda yao ni wababe Mim mwenyew yamenikuta, wajuaji Sana alaf ndoa zao familia mzima inahucka Kwa maamuz
Labda hii inaweza kuwa sababu ya msingi maana kufiwa na mzazi sikia tu kwa wengineSana,Ila mie nahisi sio kiki. Jide anapitia wakati mgumu sana hasa baada ya kuondokewa na mama.
Labda hii inaweza kuwa sababu ya msingi maana kufiwa na mzazi sikia tu kwa wengine
Alipaswa kulia kutoa machungu moyoni...ona sasa msongo wa mawazo unamtesaKweli,ile siku ya msiba hakuonyesha huzuni sana,pale alikua na butwaa,kutokuamini,ganzi etc ila saiv katulia maumivu yanarudi kwa kasi,ndipo anapoona kuna pengo kubwa maishani mwake
Si unajua anatumia sana cha Arusha. Analysis yako iko karibu na ukweli. Anapenda kulea vipaji kama wenger wa Arsernal.Huyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi
Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Wakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet: