Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Tutaishia kufanya assumptions tu.

But only yeye ndo anajua why alifikia kuwaza hufanya hivyo.

God is good hilo pepo lilipita.
 
Hapa ni gia ya kuachia wimbo mpya, wasanii siyo watu wakuwachukulia serious hata akisema anajirusha kwenye daraja la mfugale sawa tu. Angekuwa mhehe wa iringa kidogo tungemchukulia serious
 
Ukishaona mtu anakiri kabisa kuwa alikuwa tiyari kujimaliza ujue kuwa hiyo ni barua ya wazi kuwa siku zake si nyingi hapa planet Earth. Nyiye chukulieni powa tu ati amefulia anataka kik. Si kweli, hilo ni Pepo Mauti linamfuata.
Ushauri; Aende kanisa la kiroho akaomewe. Hakika soon atajimaliza. Mlio karibu na yeye, msiende kumwuliza ilikuwaje kwani hiyo ndio accelerator ya kumpeleka kuzim. Mpelekeni akaombewe. Au ani PM
 
Kweli,ile siku ya msiba hakuonyesha huzuni sana,pale alikua na butwaa,kutokuamini,ganzi etc ila saiv katulia maumivu yanarudi kwa kasi,ndipo anapoona kuna pengo kubwa maishani mwake
Alipaswa kulia kutoa machungu moyoni...ona sasa msongo wa mawazo unamtesa
 
Huyu dada anamajivuno sana na wala siyo mtu poa kabisa ana kautemi flan hiv kakipuuz puuz. Kwa kifup Mimi simpend na huwa sipend watu wenye majivuno kama huyu manzi

Tatizo lake anapenda wanaume walevi na mashorobaro. Naishia hapo
Si unajua anatumia sana cha Arusha. Analysis yako iko karibu na ukweli. Anapenda kulea vipaji kama wenger wa Arsernal.
 
Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:

project ya wimbo mpya wa msanii wa Rwanda DJ Pius amemshirikisha lady jaydee inazinduliwa siku si nyingi Kigali...
hii habari ya kujiua ni mpya aisee
 
Back
Top Bottom