Nini kinazuia mji wa Moshi kuwa Jiji?

Nini kinazuia mji wa Moshi kuwa Jiji?

Eti jiji? Jiji la barabara mbili (juu ya stendi na chini ya stendi)? Jiji unaloweza kulizunguka kwa miguu kwa dakika 25? Acheni masikhara tafuteni mambo ya maana ya kufanya.
 
Utaambiwa kwa kuwa mbunge ni wa CDM maendeleo hayawezi kuja! siasa za utopolo kabisa hizi.
 
Wakuu Salaam;

Mji wa Moshi ndiyo kitovu cha mkoa wa Kilimanjaro na kwa sasa hivi mji huu umepanuka kimaendeleo kulinganisha na miaka 15 iliyopita.

Sasa mji huu tangu mda tu haupandishwi hadhi ya kua jiji ilihali mchana kweupe tunaona kwingine kunapanda tu. Na sifa za huu mji zinajulikana zinazodhihirisha kua unastahili kua jiji.

Kipindi cha Mh. Amos Makala zilionekana dalili za kua jiji, na wakati JK alipokuja kwenye uzinduzi wa jengo la Uchumi alihaidi kuifanya kua jiji lakini haikufanikiwa. Ikakumbushiwa lakini hakuna.

Wazee wa mji na viongozi husika wameshajaribu vya kutosha lakini imeshindikana.

Miaka na miaka inazidi kwenda tukisubiri na wakati huu wa Jpm ndiyo kabisa hakuna chochote.

Sifa za mji wa Moshi zinajulikana kote na hivyo inastahili kua jiji.

Nini sasa kinazuia mji wa Moshi uliopo mkoani Kilimanjaro kua Jiji?
Sihasa ndio tatizo
 
Mpendwa mtoa mada yaweza kuwa uko sahihi.

Ila naomba nikukosoe.
IDADI YA WATU ndiyo hufanya mahali fulani paitwe kijiji ,mji, au jiji.
Kwa sababu watu wakiwa wengi katika eneo fulani wanakuwa wamesukumwa na vitu potential zaidi ni kiuchumi.

ili sehemu iwe jiji nadhani ni lazima iwe na wakazi kuanzia million moja. Yaani hapo moshi mjini pawe na watu million moja.

Kwa mfano dar nzima ina wakazi million 4 jumla. Ila kwa makadirio yangu ni kuwa pale dar penyewe achana na huko Goba yaweza kuwa na watu kama 1.5 M.
So nipe statistics za hapo moshi pana watu wangapi
Kwa saiv huu mji una wakaz million 1 na zaidi, hivyo kuchanganya na maendeleo yaliyomo kwa miaka ya karibuni ni haki yake kua jiji lakin ndy hivyo kuzubaishwa kwingi
 
Eti jiji? Jiji la barabara mbili (juu ya stendi na chini ya stendi)? Jiji unaloweza kulizunguka kwa miguu kwa dakika 25? Acheni masikhara tafuteni mambo ya maana ya kufanya.
We moshi unaizunguka kwa mguu kwa dk 25?
Huku kutokuelewa kutaathiri maamuzi October 28/020
 
We moshi unaizunguka kwa mguu kwa dk 25?
Huku kutokuelewa kutaathiri maamuzi October 28/020
kwani Moshi ina ukubwa gani? Hata hiyo hadhi ya 'manispaa' imeghushiwa! Vitongoji vya mji wa Moshi havijai mkono mmoja katika kuhesabika: Majengo, Pasua, Soweto, Shanty Town umemaliza!
Hiyo ndiyo unataka iwe jiji?
 
utasikia msiponichagua sileti maendeleo halafu bado kuna watu wanamsapoti,Tanzania ina watu wa ajabu sana.
 
Nimeshajua kinachozuia mji wa Moshi usiwe jiji.
IMG_20201023_104023_862.JPG
 
Msingi wa swali lako linatokana na comment yangu uliyoni quotet niliyosema"Chedema jambo dogo wanasusa na kutoka bungeni"inamaana nafatilia bunge.
Ubongo umejaa funza, maana wala hujiuliza kwa nini wanatoka bungeni? Je kwa taratibu za kuendesha bunge ni kosa kutoka bungeni ili kuonyesha hukubaluani na hoja fulani??
 
Wakuu Salaam;

Mji wa Moshi ndiyo kitovu cha mkoa wa Kilimanjaro na kwa sasa hivi mji huu umepanuka kimaendeleo kulinganisha na miaka 15 iliyopita.

Sasa mji huu tangu mda tu haupandishwi hadhi ya kua jiji ilihali mchana kweupe tunaona kwingine kunapanda tu. Na sifa za huu mji zinajulikana zinazodhihirisha kua unastahili kua jiji.

Kipindi cha Mh. Amos Makala zilionekana dalili za kua jiji, na wakati JK alipokuja kwenye uzinduzi wa jengo la Uchumi alihaidi kuifanya kua jiji lakini haikufanikiwa. Ikakumbushiwa lakini hakuna.

Wazee wa mji na viongozi husika wameshajaribu vya kutosha lakini imeshindikana.

Miaka na miaka inazidi kwenda tukisubiri na wakati huu wa Jpm ndiyo kabisa hakuna chochote.

Sifa za mji wa Moshi zinajulikana kote na hivyo inastahili kua jiji.

Nini sasa kinazuia mji wa Moshi uliopo mkoani Kilimanjaro kua Jiji?
Itakuwaje jiji na huku viongozi wao wakiwa bungeni mala wasuse bunge mala wazibe midomo ili wasiongee nq hayo ndo matokeo yake
 
Back
Top Bottom