Ukitoa huyo hawa wengine ni bure kabisa! Angalau mzee wa watu JK tunaweza kumsamehe kwasababu alijitahidi mambo mawili au matatu yahusuyo demokrasia na utawala bora
Tulifeli kwa sababu msimamizi mkuu alishindwa kazi yake ya kusimamia. Enzi ya nyerere watu wakikosea au wakihujumu badala ya kuadhibiwa alikua anawabsdilishia ofisi/idara. Niliwahi kusikia tanzania tulinunua ndege ambayo baadae ilionekana kuwa mbovu. Wakati huo waziri wa mawasiliano na uchukuzi alikua Augustine Mwingira, alisimamia mchakato wa manunuzi ikiwa pamoja na kwenda ulaya kushughulikia ununuzi huo. Walicholeta kikawa uozo, na nyerere hakumwajibisha Mwingira na wenzake. Huo ni mfano mmoja tuu kuonyesha nyerere alivyofeli na kutufelisha.
Tulifeli kwa sababu msimamizi mkuu alishindwa kazi yake ya kusimamia. Enzi ya nyerere watu wakikosea au wakihujumu badala ya kuadhibiwa alikua anawabsdilishia ofisi/idara. Niliwahi kusikia tanzania tulinunua ndege ambayo baadae ilionekana kuwa mbovu. Wakati huo waziri wa mawasiliano na uchukuzi alikua Augustine Mwingira, alisimamia mchakato wa manunuzi ikiwa pamoja na kwenda ulaya kushughulikia ununuzi huo. Walicholeta kikawa uozo, na nyerere hakumwajibisha Mwingira na wenzake. Huo ni mfano mmoja tuu kuonyesha nyerere alivyofeli na kutufelisha. Unaposema tungekua na rais mwingine nchi haingekua na utulivu unajidharau mwenyewe na kutudharau Watanzania kuwa nyerere asigezaliwa (au angefariki angali mtoto) hatungeweza kujisimamia. Hivi nchi zote zenye utulivu na ustawi ni nyerere aliwasimamia? Jaribu kufiri vingine kuwa nyerere ndiye aliasisi kufeli kwetu, hata yeye mwenewe alikiri. Mfano katiba hii ya ovyo tuliyonayo ilitungwa yeye akiwa kiongozi mkuu. Miaka ya 1980-1985 alipoona siasa zake zinafeli, akaamua kukaa kando kidogo. (Kumbuka aliendelea kuwa na ushawishi hata kutuamulia nani anafaa kuwa kiongozi na nani hafai). Kwa sababu ya mfumo alioucha kuendelea kumtukuza yeye, kukosa vyombo huru vya kumchambua uongozi wake- mazuri yasewe, mapungufu na mabaya yasemwe,tumebakia tuu kumwona kama alikua masihi.
nikisikia maneno ya waliokuwepo miaka ya 1985 mpaka 1995 wanamsifu sana mwinyi na jinsi hali yao ilivyokua nzuri kulinganisha na Nyerere lakini ukiangalia data za WORLD BANK na IMF zinasema kiuchumi Tanzania under Nyerere ilikua vizuri kuliko under Mwinyi. mpaka Nyerere anaondoka Tanzania ilikua inaongoza kwa Gdp East Africa ila alipoingia Mwinyi ilishuka sana mpaka anaingia Mkapa ndio ikaanza kupanda tena.Unajua Nchi hii Mwinyi kaipokea haina hata fedha za kulipia Meli ya mafuta iliyotia nanga Bandarini, Mkapa akiwa Waziri wa mambo ya nje, Msuya akiwa wa fedha na Warioba akiwa PM wamewahi mara kadhaa kuelezea hali ilivyokuwa wakati Mwinyi anaingia
Kuna wenzenu walikaririshwa eti aliua Uchumi, aliua uchumi gani wakati kakuta huwezi kupata bidhaa yoyote bila ya kibali cha Mjumbe wa nyumba 10, Mashirika na mataifa makubwa yote yametususa, ndani uzalishaji na viwanda vimefungwa kwa kukosa malighafi na masoko
Tatizo lenu ni ushamba wa kupima uwezo wa Rais kwa kusikiliza uwezo wake wa kujisifu na kuji mwambafai yeye na Wapambe wake au kufoka foka hadharan kujidai ndio uchapakazi na uzalendo
i.e Mwinyi Ndio Rais pekee wa Nchi hii ambae hata mara moja huwezi kumsikia akijisu alifanya hivi na vile
Tuliza akili usome reforms za Msingi alizofanya Mwinyi kuitoa Nchi kwenye Shimo la Ujamaa wa Nyerere ndio ujue
Nakupa machache tu kwa kuanzia
1) Reform ya kuanzisha TRA ilianzia kwa Mwinyi
2) Vision 2025 ilianzia kwa Mwinyi 1994 ( Kasome Kitabu cha Mzee Mkapa kaeleza kwa kifupi sana)
3) kufuta Azimio la Arusha lililoamini Umaskini ndio uadilifu
4) Uanzishwaji wa Soko huria na kuhusisha Sector Binafsi kwny shughuli za kiuchumi
5) kupunguza Wafanyakazi Serikalini ili wabaki namba inayoendana na uhalisia na kuwezesha Serikali kujiendesha na kuweza kuwalipa
6) Demokrasia imeanza kuota na kumea wakati wa huyu Muungwana kiasi cha hata watu kukosoa Serikali wakiwa Mita 5 kutoka geti la 'usalama wa Taifa'
7) Kuanzisha Mfumo wa Vyama vingi ( kuna baadhi wanajifai eti Nyerere ndio aliamuru vyama vingi viruhusiwe, kama alikuwa na nguvu ya kushinikiza vyama vingi ilikuaje akose nguvu ya kutetea kutofutwa azimio lake la Arusha akabaki analalama pembeni)
Hakuna Rais aliefanya Uamuzi mgumu kwny Nchi hii kama Mwinyi
Angekuwa Muoga wa matusi ya Nyerere angeacha na kizazi chenu kitafunwe na Ujamaa kama kizazi chetu
Sasa Pohamba ingekuwaje Kama mwinyi angepokea nchi toka kwa Kambona hyo 1981?Unajua Nchi hii Mwinyi kaipokea haina hata fedha za kulipia Meli ya mafuta iliyotia nanga Bandarini, Mkapa akiwa Waziri wa mambo ya nje, Msuya akiwa wa fedha na Warioba akiwa PM wamewahi mara kadhaa kuelezea hali ilivyokuwa wakati Mwinyi anaingia
Kuna wenzenu walikaririshwa eti aliua Uchumi, aliua uchumi gani wakati kakuta huwezi kupata bidhaa yoyote bila ya kibali cha Mjumbe wa nyumba 10, Mashirika na mataifa makubwa yote yametususa, ndani uzalishaji na viwanda vimefungwa kwa kukosa malighafi na masoko
Tatizo lenu ni ushamba wa kupima uwezo wa Rais kwa kusikiliza uwezo wake wa kujisifu na kuji mwambafai yeye na Wapambe wake au kufoka foka hadharan kujidai ndio uchapakazi na uzalendo
i.e Mwinyi Ndio Rais pekee wa Nchi hii ambae hata mara moja huwezi kumsikia akijisu alifanya hivi na vile
Tuliza akili usome reforms za Msingi alizofanya Mwinyi kuitoa Nchi kwenye Shimo la Ujamaa wa Nyerere ndio ujue
Nakupa machache tu kwa kuanzia
1) Reform ya kuanzisha TRA ilianzia kwa Mwinyi
2) Vision 2025 ilianzia kwa Mwinyi 1994 ( Kasome Kitabu cha Mzee Mkapa kaeleza kwa kifupi sana)
3) kufuta Azimio la Arusha lililoamini Umaskini ndio uadilifu
4) Uanzishwaji wa Soko huria na kuhusisha Sector Binafsi kwny shughuli za kiuchumi
5) kupunguza Wafanyakazi Serikalini ili wabaki namba inayoendana na uhalisia na kuwezesha Serikali kujiendesha na kuweza kuwalipa
6) Demokrasia imeanza kuota na kumea wakati wa huyu Muungwana kiasi cha hata watu kukosoa Serikali wakiwa Mita 5 kutoka geti la 'usalama wa Taifa'
7) Kuanzisha Mfumo wa Vyama vingi ( kuna baadhi wanajifai eti Nyerere ndio aliamuru vyama vingi viruhusiwe, kama alikuwa na nguvu ya kushinikiza vyama vingi ilikuaje akose nguvu ya kutetea kutofutwa azimio lake la Arusha akabaki analalama pembeni)
Hakuna Rais aliefanya Uamuzi mgumu kwny Nchi hii kama Mwinyi
Angekuwa Muoga wa matusi ya Nyerere angeacha na kizazi chenu kitafunwe na Ujamaa kama kizazi chetu
nikisikia maneno ya waliokuwepo miaka ya 1985 mpaka 1995 wanamsifu sana mwinyi na jinsi hali yao ilivyokua nzuri kulinganisha na Nyerere lakini ukiangalia data za WORLD BANK na IMF zinasema kiuchumi Tanzania under Nyerere ilikua vizuri kuliko under Mwinyi. mpaka Nyerere anaondoka Tanzania ilikua inaongoza kwa Gdp East Africa ila alipoingia Mwinyi ilishuka sana mpaka anaingia Mkapa ndio ikaanza kupanda tena.
unaweza ukanifungua macho kwenye hili. kwanini numbers za World Bank na IMF zinamsaliti Mwinyi dhidi ya Nyerere wakati inaonekana hali ya watu ilikua vizuri wakati wa Mwinyi kuliko Nyerere?
Sasa Pohamba ingekuwaje Kama mwinyi angepokea nchi toka kwa Kambona hyo 1981?
japo credibility ya hii source sio ya kuaminika sana lakini kwa kuanzia hapo si vibayaWeka hapa hizo data nikupe uchambuzi wa kiuchumi kwa kuwa uwanja huo sio mgeni sana pia!
Pia jiulize chanzo cha input ya Taarifa hizo za WB na IMF ni BOT au wana source zingine kujua GDP?
Pamoja na yote nikupe darsa dogo tu
Economic growth na Welfare of society vinashabihiana lakini si lazima viende sambamba
Uki google utakuta nchi yenye uchumi mkubwa zaid Duniani ni tofauti na nchi yenye wananchi wenye welfare kubwa zaid
Mf rahisi usishangae Pohamba anaishi kwa furaha na amani na familia yake kuliko Said Salim Bakhresa japo kipato cha ukoo wangu wote kwa mwaka haifikii 10% ya kipato cha SSB kwa siku!
Tungeingia kwny soko huria mapema sana kwa hiyo athari za ujamaa zisingekuwa kwa kiwango ambacho kilifikia
Mf Yule Mkulima wa South Africa asingekamata ndege zetu wala tusingemlipa fidia kwa nyuma ya pazia kwa kuwa yule aliporwa mashamba mwanzoni mwa 1980s
Lakini wangelipa Kodi, kuajri, kuzalisha malighafi kwa viwanda nkKungekua na hatari ya ardhi yote kumilikiwa na mizungu michache yatokee kama ya Zimbambwe.
Ulichelewa sana kujua, lakini ungeongea na Wakandarasi wawili watatu ungepata jibu mapema kuhusu mpiga dili wa Chato.Kambona asingekuwa na Cha ajabu pia, nawaambia mfumo wetu wa Uongozi kuna sehemu unapaswa kutazamwa,
Leo hii tulimuamini Magufuli, Kumbe naye ni yale yale, anashirikiana na Makongoro kwenye Upigaji, hamjiulizi Kwanini Jamaa nimemgeuka ghafla, Mpigaji balaa
Huwezi kudhulumu na kunyang'anya raia mali zao halali kwa jina la "utaifishaji na uhujumu" ukatoboaSera za Nyerere wala hazikuwa mbaya. Wabaya ni sisi wananchi tuliokuwa wasimamizi wa yote waliyoanzishwa. Nyerere alijitahidi sana sana Tanzania ipige hatua. Alianzisha viwanda vingi. Ila usimamizi ulikuwa mbovu. Alitujengea umoja wa kitaifa. Nadiriki kusema pengine tungekuwa na rais mwingine badala ya Nyerere basi nchi yetu isingekuwa tulivu kama ilivyo. Imagine angekuwa na Magufuli kipindi hicho. Tungekuwa sawa na Kongo ya Mobutu sasa hivi.
Lakini wangelipa Kodi, kuajri, kuzalisha malighafi kwa viwanda nk
Kambona alishakimbia. How could that be possible?Wadau wa JF habari zenu.
Leo nimewaza hivi ikiwa Mwl Nyerere angestastaafu Urais mwaka 1971 kwa kufuata mihula miwili na baadae kufuatiwa na Oscar Kambona ambaye naye angestastaafu mwaka 1981, nchi hii ingekuwaje? Mfano kiuchumi, kisiasa, kijamii, kitamaduni, kidiplomasia nk.
Natanguliza shukurani kwa maoni yenye tija ya kimtizamo ikizingatiwa ni jambo nadharia ambalo halikuwahi kutokea.
Mbona mwaenda mbaliUlichelewa sana kujua, lakini ungeongea na Wakandarasi wawili watatu ungepata jibu mapema kuhusu mpiga dili wa Chato.
Weka nyama kidogo hapo kwa kimbia kwa kambonaKambona alishakimbia. How could that be possible?
Hata kama ingekuwa ni miaka 10, Kambona was an outcast. He was never wanted anywhere near the power that might beWeka nyama kidogo hapo kwa kimbia kwa kambona
Miaka 30 ijayo, akitokea mtu akasoma gazeti la Uhuru la mwaka 2020 kuhusu demokrasia na uchumi wa Bongo, unadhani atakuwa na uelewa sawa wa hali halisi unavyoiona wewe kwa sasa? Kadhaalika, msomaji huyo wa Gazeti la Uhuru la 2020 kwa 2050, atasoma pia katika miaka mitano ya JPM zaidi ya viwanda 3000 vimejengwa. Sjui unanielewa?Dunia ya leo ili mtu kujua tukio fulani siyo lazima awepo na kushuhudia. Watu wana uwezo wa kujua hata mambo yaliyotokea miaka mamilioni iliyopita na hawakuwepo. Hapa kuna thread nyingi zinazoelezea. Moja kati ya hizo ni hii:
Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu. Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira...www.jamiiforums.com
Bado kuna vingine havipo kwenye list.
Huwezi kudhulumu na kunyang'anya raia mali zao halali kwa jina la "utaifishaji na uhujumu" ukatoboa