Wazungu washenzi sana.
Yalikuja na falsafa yao ya kipuuzi ya kuifafanua akili kwa kipimo cha IQ test na upuuzi mwingine ufananio na huo kama vile Shule na ufaulu wa masomo ya hesabu.
Kiujumla akili haina vipimo na mpaka leo hii asikudanganye mtu, hakuna aliyefanikiwa kutoa kipimo sahihi cha akili, maana akili huwa na tabia ya kubadirika, na haina mwisho, hivyo ni ngumu kupima kitu kisichotabirika wala kisicho na limitations.
Ni kama kinyonga kutaka kujua rangi yake halisi, ijapokuwa hana rangi sahihi, hivyo kumconclude kuwa ana rangi ya kijani et sababu huonekana mara nyingi na huo muonekano huo ni uongo na upumbavu.
Kumpia mtu kwa kigezo cha IQ test na masomo magumu, huo nao ni upuuzi vile vile, maana kama nilivyosema, akili ya binadamu hubadirika kulingana na mazingira, mood, hali ya kiafya, na mengineyo,
hata mwanafunzi anayefaulu sana leo hii anaweza kuja kuwa kilaza wa baadae ambaye kwa vigezo vya vipimo vya wanasayansi uchwala, basi mtu huyo ataonekana ana upeo mdogo wa kufikili ama akili, je zile za mwanzoni zilienda wapi?.
Hata yule mwanafunzi unayempima leo hii kwa vigezo vya kumbukumbu na upuuzi kama huu, ukiona kafeli, kumbuka kuwa kuna kesho huwa wanabadirika na kuwa hodari wa kufaulu hizi tests za vipimo, ushahidi mnao, kuna wale mlisoma nao walikuwa vilaza, lkn end of days wakaja kuwa superior wa kufaulu the same way kwa wale waliokuwa wanafaulu na kuja kuwa vilaza, je akili zilienda wapi?
Ukijiuliza hapo utapata kujuwa kuwa, viwango vyao vya ufaulu vilibadirika sababu mbalimbali, mybe, mood ya mwanafunzi, hali ya kimaisha, hali ya kiafya, hizi zote huweza sababisha mtu uwezo wake wa ufaulu kushuka ama kupanda, hivyo hizi haziwezi kuitwa ama kuwa vipimo vya akili[emoji23][emoji23].
Pia akili haipimwi kwa uwezo wa kuvumbua ama kusolve mambo, maana ukimya/utulivu pasipo kufanya jambo lolote nayo ni akili, tena akili ambayo imelala,
Akili ni suala zito ambalo wahuni wa kileo wamekuwa wakilidadavua kwa upendeleo na ubaguzi mkubwa, wakitumia vipimo vinavyowafurahisha wao na kuwabagua wengine.
Huwezi kusema mchina/muisrael ana akili kulko mwafrika wa madongo kuinama huku maporini, kisa kule kwao kuna maendeleo.
Hiyo si akili, kama nilivyosema mwanzo, ukimya na kutothubutu nayo ni akili, akili iliyolala, hivyo, huwezi kumconclude mtu huyo asiyethubutu ama kutatua changamoto fulan kuwa hana akili, kisa hajathubutu, huo ni uongo, ni sawa na kusema mtu fulan hana ugonjwa wa TB kisa hajapima huo ugonjwa na haoneshi dalili za ugonjwa hii sio sahihi wala njia nzuri ya kuhitimisha Afya ya mtu huyo, mpka pale utakapompima na kujua si ndivyo?.
Hivyo hata ktk maisha, kila mtu anakipimo chake sahihi cha kupimwa uwezo wake wa akili, na kwakuwa hakuna ajuaye kiwango chako sahihi cha mipaka ya kufikili kwako, hivyo hawezi hitimisha kwa kukupa percentage fulani za akili, maana hajaingia kichwan mwako kuona viwango vya mwisho vya ufikili.
Acheni kudanganywa na hawa wanasayansi wapuuzi puuzi wanaoibuka na masomo yao ya kihuni kuanza kudadavua mambo ambayo hata wao yamewapita uwezo wa kuyaelezea.
Akili ni uwezo wa mtu kutumia Sense zake vizuri kwa manufaa yake ama jamii yake bila kumuumiza mwingine,
I mean, akili ni uwezo ambao kila mtu anautofauti na mwingine, uwezo huo ndio hukupa kazi ya kutambua mbaya na nzuri, mema na ovu, pia control hisia zako na matumizi sahihi ya milango yote ya fahamu, kuanzia physically sense mpaka spirituals sense.
Niishie hapa nisije wachanganya