Viazi vizima vya kukaanga huwezi kula zaidi ya vitano ila viazi kumi vikikatwa kama Chips na vikaangwe vizuri unamaliza vyote.Hao hao wanaosema chips n mbaya kisa mafuta ndio hao hao wanaokula viazi vya kukaanga huku wakiona havina madhara.
N ww pekee yako ndio huwez kumaliza viazi vitano au? Na sababu n ipi?Viazi vizima vya kukaanga huwezi kula zaidi ya vitano ila viazi kumi vikikatwa kama Chips na vikaangwe vizuri unamaliza vyote.
Ndio maana wanawake wengi wanazidi kuwa na vitambi.Kuna baba lao "Kitumbua" hichi ndio kinanyonya mafuta balaa.
Yani ukichukua vitumbua vitano ukavikamua unapata hata nusu lita ya mafuta.
Afu sasa ndio kuna watu wanapiga vitumbua kumi asubuhi, mchana tena kitimoto tena yenye mafuta.
Ila kila siku kuzinanga Chipsi kwamba ndio zina mafuta sana...😄
Kwanza unajua components za cholesterols?😂😂Itakuwa unabinuliwa tipper siyo bure. Mwanaume unalilia chips?
Kiti moto ni white meat, inajikaanga kwa mafuta yake na hayana cholesterolsKuna baba lao "Kitumbua" hichi ndio kinanyonya mafuta balaa.
Yani ukichukua vitumbua vitano ukavikamua unapata hata nusu lita ya mafuta.
Afu sasa ndio kuna watu wanapiga vitumbua kumi asubuhi, mchana ana ongeza kitimoto yenye mafuta.
Ila kila siku kuzinanga Chipsi kwamba ndio zina mafuta sana...😄
Vp machungwa na matunda mengine yanayokuja dar nan anakulaga?Tatizo watu WA dar mnakula daily mara tatu miili inajengwa na mfuta na wanga pekee yake + soda apo lazima nguvu za kiume zikusumbue
Nin kazi ya cholesterol mwilini ? Tuanzie hapo na unajua cholesterol inaweza ika accumulate mwilini bila hata kula mafuta?Kiti moto ni white meat, inajikaanga kwa mafuta yake na hayana chrolestal
Kitumbua je?Kiti moto ni white meat, inajikaanga kwa mafuta yake na hayana cholesterols
Nilishakupuuza, huwa sina muda na wapumbavu.Nin kazi ya cholesterol mwilini ? Tuanzie hapo na unajua cholesterol inaweza ika accumulate mwilini bila hata kula mafuta?
Baada ya kushindwa angalau kuandika cholesterol kwa usahihi ndo nikawa mpumbavu 😂😂Nilishakupuuza, huwa sina muda na wapumbavu.
Ukiyakaanga kwenye mafuta yananyonya sana mafuta tofauti na ukipika kwenye mboga. Kwaio tatizo linaanzia hapo kwenye kuunyonya mafuta mengi,unakula mafuta mengi kupitia viazi ivoHuwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.
Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.
Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.
Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.
Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.
Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Na vp ukikaanga mihogo hamna shida? Au mihogo hainyonyi mafuta?Ukiyakaanga kwenye mafuta yananyonya sana mafuta tofauti na ukipika kwenye mboga. Kwaio tatizo linaanzia hapo kwenye kuunyonya mafuta mengi,unakula mafuta mengi kupitia viazi ivo
kwenye kifungu gani cha katiba kinasema chips kwa ajili ya mwanamkeMWANAUME WA Kweli Hali chipsii Bali hula mawe.....