Nini kipo nyuma ya chips?

Nini kipo nyuma ya chips?

Kuna baba lao "Kitumbua" hichi ndio kinanyonya mafuta balaa.

Yani ukichukua vitumbua vitano ukavikamua unapata hata nusu lita ya mafuta.

Afu sasa ndio kuna watu wanapiga vitumbua kumi asubuhi, mchana ana ongeza kitimoto yenye mafuta.

Ila kila siku kuzinanga Chipsi kwamba ndio zina mafuta sana...😄
 
Kuna baba lao "Kitumbua" hichi ndio kinanyonya mafuta balaa.

Yani ukichukua vitumbua vitano ukavikamua unapata hata nusu lita ya mafuta.

Afu sasa ndio kuna watu wanapiga vitumbua kumi asubuhi, mchana tena kitimoto tena yenye mafuta.

Ila kila siku kuzinanga Chipsi kwamba ndio zina mafuta sana...😄
Ndio maana wanawake wengi wanazidi kuwa na vitambi.
 
Kuna baba lao "Kitumbua" hichi ndio kinanyonya mafuta balaa.

Yani ukichukua vitumbua vitano ukavikamua unapata hata nusu lita ya mafuta.

Afu sasa ndio kuna watu wanapiga vitumbua kumi asubuhi, mchana ana ongeza kitimoto yenye mafuta.

Ila kila siku kuzinanga Chipsi kwamba ndio zina mafuta sana...😄
Kiti moto ni white meat, inajikaanga kwa mafuta yake na hayana cholesterols
 
Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.

Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.

Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.

Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.

Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.

Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Ukiyakaanga kwenye mafuta yananyonya sana mafuta tofauti na ukipika kwenye mboga. Kwaio tatizo linaanzia hapo kwenye kuunyonya mafuta mengi,unakula mafuta mengi kupitia viazi ivo
 
Back
Top Bottom