Nini kipo nyuma ya watu maarufu na kesi za kubaka?

Kibongobongo mtoto wa miaka ishirini bado yupo ktk milki ya wazazi ila mbele huko mason anaishi kwenye bangaloo,magari kama yote na ana miliki mwanamke, huyu bado alikuwa na akili za baleghe so kichwa kilikuwa kinaenda race sana
 
Madhara ya hao mastaa kushinda JF wakisoma ule Uzi wa kula tunda kimasihara.Hua wanatumia google translate kuelewa kinachoongelewa.
 
Jamani usitake kuniua [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata sikuui bhana, hebu njoo ufaidi mema ya uumbaji lol
 
Hata hawabaki, hao wanawake wanakubali wenyewe, issue ni kwenye miaka tu, under 18...
 
Mkuu hili suala ni zito mno. Hii kauli ya akiingia "geto lazima aliwe" itawaponza wengi sana siku wanawake wakiamka kama hao wa uingereza. Takwimu zikichukuliwa hapa nchini utakuta kila mtanzania mtu mzima huenda kuna siku aliwahi kubaka/kubakwa. Ifike mahala kila familia itoe elimu kwa watoto wao kuhusu haya mambo ya ubakaji ikibidi waende deep zaidi kuongelea hiyo kauli ya "akiingia geto lazima aliwe"
 

Hela.

Wanawake wengi hususani Ulaya na Marekani wanatumia tuhuma za kutengeneza ili kupata hela.

Character Assassinations: inaonekana wengi wa wanaolengwa pia ni watu weusi. Hii ni kuipaka ngozi nyeusi rangi mbaya kwamba haiheshimu wanawake na ukiangalia wengi ni wale waliofanikiwa ndo wanalengwa zaidi.

Fikiria jitu kama Trump hajawahi kushitakiwa pamoja na matendo na madeno yake dhidi ya wanawake.

Kwa kiasi kikubwa ni mipango ya kisiasa japo kuna nyingine ni za ukweli.
 

acha fikra za kibaguzi ndugu.

Watu weusi wengi ni wahanga wa hayo mambo sababu wengi wao vichwani ni vitupu. Mzungu kumtengenezea scandle unatakiwa ujipange mana sio watu wepesiwepesi.

Na Trump ni mtoto wa mjini, si rahisi kutegeka kiwepesiwepesi mkuu.
 
Sio hao tu, hata sisi kabwela tunawala sana sema tu hatuna cha kushtakiwa…. mademu kibao tunawabaka ila hawana cha kufanya.
 

Huo weupe kichwani umeuongelea kwenye angle gani?
 
Ila hizo kesi ingekua kibongobongo wengi wangefungwa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…