Nini kipo nyuma ya watu maarufu na kesi za kubaka?

Nini kipo nyuma ya watu maarufu na kesi za kubaka?

Kibongobongo mtoto wa miaka ishirini bado yupo ktk milki ya wazazi ila mbele huko mason anaishi kwenye bangaloo,magari kama yote na ana miliki mwanamke, huyu bado alikuwa na akili za baleghe so kichwa kilikuwa kinaenda race sana
 
Madhara ya hao mastaa kushinda JF wakisoma ule Uzi wa kula tunda kimasihara.Hua wanatumia google translate kuelewa kinachoongelewa.
 
Jamani usitake kuniua [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata sikuui bhana, hebu njoo ufaidi mema ya uumbaji lol
 
Hata hawabaki, hao wanawake wanakubali wenyewe, issue ni kwenye miaka tu, under 18...
 
Naona wengi wanaona ni kama tuhuma za kutengeneza...

Of course, kutengeneza kupo tena sana tu, na wakati mwingine kwa ajili ya hype au matarajio ya settlement!

Lakini wakati mwingine hayo yanayowakuta mastaa ni yale yale ambayo hata sisi wa kawaida huwa tunayafanya mara kwa mara lakini ndo vile tena!

Hebu sie wanaume wa kawaida tujiulize wenyewe....

Ni mara ngapi tumekuwa tukisema "yaani demu aingie hadi ghetto halafu atoke hivi hivi?"

Hapo tafsiri yake ni: "ametaka, asitake, ataliwa tu"

Na kweli tushakula sana mademu kwa staili hiyo haidhuru hata kama baada ay hapo majority huwa wanachukulia poa tu

Bisheni!!

Hata kwa sheria za Tanzania, hapo man umebaka... ndo vile na mademu wenyewe wanachukulia poa lakini akikupeleka kwa pilato na ikathibitika umemla bila ridhaa, my friend, hapo umembaka!!!

Na kwanini asichukulie poa wakati hata akimsimulia mamake mzazi kwamba amebakwa na akisema alienda mwenyewe ghetto kwa mshikaji basi hata mama yake mzazi nae ataona "kataka mwenyewe"

Lakini kisheria, ile eti kaingia mwenyewe hadi ghetto, ni excuse isiyo na nguvu yoyote..

Na kwa sheria zetu, unaweza kabisa ikawa ulikubaliana nae hapo kabla, tena kama umepelekwa kwa pilato unaenda pale with confidence na SMS zako ukionesha alikubali aje munyanduane, my friends, hiyo haitakusaidia provided kama baada ya kuja ghetto, ukaanza kutumia nguvu!!

Je, mara ngapi tumekuwa tukifanya hivyo?

Kwa kifupi, sheria zetu zinaangalia consent, yaani mwanamke mwenyewe kukubali kukulana na wewe! Hata hivyo, consent inayoangaliwa na wakati wa kufanya tendo lenyewe!! Kwahiyo, YES, wakati anatoka kwao alijua kabisa anaenda kutoa tunda kwa hiyari yake mwenyewe lakini amefika ghetto, anagoma...

Man, hapo ikishathibitika kwamba kulikuwa na penetration, na ikathibitika kulikuwa na struggle kati yenu... labda katika kuhakikisha hatoki bila kulia, ukawa umem-tight kisawasawa hadi ukaacha alama za mshike mshike mwilini mwake, man, hapo you're done na hata kama moja ya messages zake ilikuambia akija mtie hadi mbususu ichubuke, hiyo wala haitakusaidia kwa sababu physical struggle itathibitisha hapakuwa na consent DURING SEXUAL Intercourse!!

Sasa kama hata wewe mwenyewe ushafanya sana hayo, utashangaa yakija kufanywa na hao akina Benzema?!

Na kuna siku nilikuwa naongea na washikaji fulani fulani hivi, nikawaambia wazi hata US,back in 1980's kurudi nyuma haya mambo yanayowakuta akina Cosby leo hii na wenyewe walikuwa wanachukulia poa tu kama ambavyo leo hii tunachukulia poa Bongo!

Lakini Bongo hii hii, watu wakishaamka, usije kushangaa miaka 20 ijayo unakuja kusikia akina Kiba na Diamond nao wanafunguliwa mashtaka ya unyanyasaji wa kingono "wanaofanya sasa" lakini wanaofanyiwa hayo hivi sasa wamekausha!
Mkuu hili suala ni zito mno. Hii kauli ya akiingia "geto lazima aliwe" itawaponza wengi sana siku wanawake wakiamka kama hao wa uingereza. Takwimu zikichukuliwa hapa nchini utakuta kila mtanzania mtu mzima huenda kuna siku aliwahi kubaka/kubakwa. Ifike mahala kila familia itoe elimu kwa watoto wao kuhusu haya mambo ya ubakaji ikibidi waende deep zaidi kuongelea hiyo kauli ya "akiingia geto lazima aliwe"
 
Habari zenu wadau,

Kwa siku za karibuni kumekuwa na mfululizo wa kesi za kubaka hasa kwa watu maarufu hususani wachezaji mpira na wasanii.

Inawezekana ikawa madai yao ni ya kweli au kuna kitu nyuma ya matukio haya wengi wakihusisha na ile dini inatajwa kuwa ya siri kwamba ukikataa au kuenda kinyume na makubaliano basi ndo wanamaliza na wewe kwa njia hyo.

Baadhi ya mastaa hao ni kama ifuatavyo,

1.CRISTIAN RONALDO: Christian Ronaldo kipindi yupo Manchester United aliwahi kukumbwa na kashfa hyo ila ikapotea ikaja kuibuka tena siku za karibuni ila ikapotea bila kwenda mahakamani.

2.KARIM BENZEMA : Karim benzema na yeye ni miongoni mwa watu waliowahi kuwa na skendo kama hiyo iliyomfanya akawa nje ya timu ya taifa kwa miaka mitano.

3.ROBINHO: mchezaji wa zamani wa Manchester city na team ya taifa ya Brazil na yeye ni miongoni mwa watu maarufu walio pata kashfa kama hyo na kuhukumiawa kwenda jela.

4.BENJAMIN MENDY: Mchezaji wa Manchester city na team ya taifa ya ufaransa kwa siku za karibuni zimeibuka taarifa za yeye kubaka na club yake kusitisha mkataba nae ila kesi yake bado inaendelea.

5.R KELLY: Msanii mkongwe kutoka marekani ambaye alihukumiwa kwenda jela kwa kosa la kutembea na binti wa chini ya umri wa miaka 18 ambayo wahusika walidai walijaribu kufuatilia madai yao kwa miaka 20 bila kusikilizwa.

Nadhani humu ndani kuna watu wajuzi na wakongwe,
Je ni kweli wanabaka au ni kesi za mchongo na kwa nini wengi ni watu weusi tu wanaukutwa na hatia.

Wasalam.

Hela.

Wanawake wengi hususani Ulaya na Marekani wanatumia tuhuma za kutengeneza ili kupata hela.

Character Assassinations: inaonekana wengi wa wanaolengwa pia ni watu weusi. Hii ni kuipaka ngozi nyeusi rangi mbaya kwamba haiheshimu wanawake na ukiangalia wengi ni wale waliofanikiwa ndo wanalengwa zaidi.

Fikiria jitu kama Trump hajawahi kushitakiwa pamoja na matendo na madeno yake dhidi ya wanawake.

Kwa kiasi kikubwa ni mipango ya kisiasa japo kuna nyingine ni za ukweli.
 
Hela.

Wanawake wengi hususani Ulaya na Marekani wanatumia tuhuma za kutengeneza ili kupata hela.

Character Assassinations: inaonekana wengi wa wanaolengwa pia ni watu weusi. Hii ni kuipaka ngozi nyeusi rangi mbaya kwamba haiheshimu wanawake na ukiangalia wengi ni wale waliofanikiwa ndo wanalengwa zaidi.

Fikiria jitu kama Trump hajawahi kushitakiwa pamoja na matendo na madeno yake dhidi ya wanawake.

Kwa kiasi kikubwa ni mipango ya kisiasa japo kuna nyingine ni za ukweli.

acha fikra za kibaguzi ndugu.

Watu weusi wengi ni wahanga wa hayo mambo sababu wengi wao vichwani ni vitupu. Mzungu kumtengenezea scandle unatakiwa ujipange mana sio watu wepesiwepesi.

Na Trump ni mtoto wa mjini, si rahisi kutegeka kiwepesiwepesi mkuu.
 
Sio hao tu, hata sisi kabwela tunawala sana sema tu hatuna cha kushtakiwa…. mademu kibao tunawabaka ila hawana cha kufanya.
 
acha fikra za kibaguzi ndugu.

Watu weusi wengi ni wahanga wa hayo mambo sababu wengi wao vichwani ni vitupu. Mzungu kumtengenezea scandle unatakiwa ujipange mana sio watu wepesiwepesi.

Na Trump ni mtoto wa mjini, si rahisi kutegeka kiwepesiwepesi mkuu.

Huo weupe kichwani umeuongelea kwenye angle gani?
 
Ila hizo kesi ingekua kibongobongo wengi wangefungwa aisee
 
Back
Top Bottom