Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #361
Kwa ujumla miradi yote inaendelea vizuriMiradi gani ya maana imesimama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ujumla miradi yote inaendelea vizuriMiradi gani ya maana imesimama?
Kwa tetesi ni Kuwa Magufuli hajafa na atarudi, subirini maajabu😁😁😁😁Duh hii nimekubali apewe zawadi kubwa ya heshima
Bila hivyo huyu jamaa alitaka kutawala maisha, acha akawaongoze malaika km nao wapo jehanamu
KwaniniHapo mbele ungeongezea neno inshaallah
inshaAllah maana yake Mungu akipenda nilisema hivyo nikimaanisha huenda asingefikisha muda wa kustaafu akafariki madarakani na ndo ilivyotokeaKwanini
YaaaniinshaAllah maana yake Mungu akipenda nilisema hivyo nikimaanisha huenda asingefikisha muda wa kustaafu akafariki madarakani na ndo ilivyotokea
SijakupataWatanzania mdebanh,u
Ulimwombea mabaya Sana Mzee wa watuKwanza kabisa naomba Mungu atujaalie tusifike hata mwaka mmoja kabla ya hili janga kutuondokea. Mungu mwenyewe ndie anaejuwa vya kuliondosha. Mungu ana njia nyingi!
Magufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya coronaHata nawe Kalamu1 hujui mbinu za madikteta? Kama ni kujibu angemjibu Ndugai. Badala yake Ndugai kapita bila kupingwa. Msema tawire namba moja.
Keisi atapewa mkoa. Nkamia, Mwanri(Mungu amshukuru Magu), Kangi/Nabali(Magu zaidi ya Yesu) wote mikoa 2025. Sasa hivi wanaonekana wamepigwa chini. Anafanya political distancing. Gelesha tu. DAB atawaunganisha. Political logistics!
Kila mkoa na wake. Maandamano yasiyokoma wiki nzima. Badala ya mwenge, haya moto. Anaombwa na wananchi kuendelea. Political mobilization. Makanisa na misikiti ya mteule wa Mungu yatafunga na kuomba.
Hitimisho bungeni. Ndugai anatangaza. Wananchi wamlazimisha rais kuendelea. Ingawa kwa shingo upande amekubali. Kasikia kilio cha wananchi. Kaitika. Tanzania, Tanzania nakulove!
Hatari sanaMagufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya corona
Alienda hospital ndogo mnoMzena hospital
Unaonaje?Vp akifa akiwa Madarakani?? Au hata hilo alishampokonya Mola Mapenzi yake??
Magufuli alikufa siku 10 tarehe 17 MarchMagufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya corona
Daaah!Kwanza kabisa naomba Mungu atujaalie tusifike hata mwaka mmoja kabla ya hili janga kutuondokea. Mungu mwenyewe ndie anaejuwa vya kuliondosha. Mungu ana njia nyingi!
Mnaionaje hali?