Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Duh hii nimekubali apewe zawadi kubwa ya heshima
Bila hivyo huyu jamaa alitaka kutawala maisha, acha akawaongoze malaika km nao wapo jehanamu
Kwa tetesi ni Kuwa Magufuli hajafa na atarudi, subirini maajabu😁😁😁😁
 
Hapo mbele ungeongezea neno inshaallah
 
Kwanza kabisa naomba Mungu atujaalie tusifike hata mwaka mmoja kabla ya hili janga kutuondokea. Mungu mwenyewe ndie anaejuwa vya kuliondosha. Mungu ana njia nyingi!
Ulimwombea mabaya Sana Mzee wa watu
 
Magufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya corona
 
Magufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya corona
Hatari sana
 
Magufuli alipoitwa mungu na akina Kabudi na Aggrey Mwanri akadhani ni mungu kweli. Ila March 17, 21 Mungu wetu aliyehai akamuonyesha Magu kuwa yeye si lolote mbele ya makamasi ya corona
Magufuli alikufa siku 10 tarehe 17 March
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…