wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 985
Kwanza kabisa naomba Mungu atujaalie tusifike hata mwaka mmoja kabla ya hili janga kutuondokea. Mungu mwenyewe ndie anaejuwa vya kuliondosha. Mungu ana njia nyingi!Habari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Hata nawe Kalamu1 hujui mbinu za madikteta? Kama ni kujibu angemjibu Ndugai. Badala yake Ndugai kapita bila kupingwa. Msema tawire namba moja.Najua mkuu.
Hiyo ilikuwa wakati huo; subiri wakati husika.
Sidhani Kama Kuna ufisadi sikuizi
Pamoja na kuwa tunamlaumu kwa maneno kibao ila JPM akistaafu nchi inarudi kuwa utopolo, nchi itabaki kuliwa na wajanja kuliko saivi, itabaki kuwa nchi ya connection kwa asilimia kubwa, watoa huduma wataanza kuwa viburi, uonevu utakuwa haukatazwi, maskini watadhurumiwa hali zao ikiwemo mashamba n.k
Wajanja wataweka maafisa wa TRA kwenye payroll zao hivyo hawatalipa kodi tena kama ilivyo sasa.
Kuna wakati inauma sana lakini katiba lazima iheshimiwe na watu wote.
Kama anaweza kutangaza hadharani kuwa hakuna COVID Tanzania.Kakwambia "atastaafu"?
Na kama kakwambia, unauhakika hakudanganyi?
Kwani nini kilitokea baada ya Hayati baba wa taifa na Benjamin ? Nation will press on peace fullHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Huwajui ccm weweSina uhakika kama hili jiwe linaweza kupasuka vipande vipande[emoji38], atafwata minyao ya m7 nahis, huyu n m7 aliyechangamka[emoji1787][emoji1787]
SAWA.Amani na upendo wa kweli utarejea na sio hofu na nidhamu za kinafiki. Utawala wa sheria utarejea na sio sheria zinazomfurahisha rais. Ccm itarejea kuwa chama cha siasa, na sio kikundi cha dola kilichojificha kwenye koti la siasa kupitia madaraka ya urais. Uhuru wa vyombo vya habari utarejea na serikali itarudi kuwa ya uwazi. Bunge latarudi kuwa Muhimili unaojitegea na sio hekalu la kumsifia rais na kutii kila atakacho. Mahakama itarejea na kutekeleza wajibu wake wa kutoa haki, na sio kuwa taasisi ya kukosoa wote wasiomsujudia rais. chaguzi za nchi zitarudisha heshima yake, na sio kama sasa kuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Habari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Hapo sasa!Kama anaweza kutangaza hadharani kuwa hakuna COVID Tanzania.
Mkuu wewe utakuwa mtaalamu wa unajimu kbs, nimeipenda hii hakika Mungu atupe uhai tupate kuyashuhudia hayaUkiijua elimu ya namba na cords zake huwezi kuumiza saana kichwa.
Kwa ufupi baada ya namba 5 kutoka nchi haitatengemaa na kupata uchumi imara,hadi atakapo ingia Rais wa 8.
Rais wa 6 anaweza kua rais asiejiamini kuliko ote,na atakua mwenye hasira na kukulupuka kuliko ote.kutokana na kutojiamini kwake atayumbishwa sana.
Ila atakuza elimu,sanaa,biashara,mambo ya watoto.nk.
Mbaya zaidi yakitokea maladh kama haya ya sasa atashindwa kuyadhibiti.
Ajira,watu wajiajili wenyewe na wachapekaz wenyewe tena kwa bidii hasa.
Maana tusipoangalia hali itakua ngumu mala 2 ya sasa.
Mbona unatuogopesha?Ukiijua elimu ya namba na cords zake huwezi kuumiza saana kichwa.
Kwa ufupi baada ya namba 5 kutoka nchi haitatengemaa na kupata uchumi imara,hadi atakapo ingia Rais wa 8.
Rais wa 6 anaweza kua rais asiejiamini kuliko ote,na atakua mwenye hasira na kukulupuka kuliko ote.kutokana na kutojiamini kwake atayumbishwa sana.
Ila atakuza elimu,sanaa,biashara,mambo ya watoto.nk.
Mbaya zaidi yakitokea maladh kama haya ya sasa atashindwa kuyadhibiti.
Ajira,watu wajiajili wenyewe na wachapekaz wenyewe tena kwa bidii hasa.
Maana tusipoangalia hali itakua ngumu mala 2 ya sasa.
NdiyoNa ww ukamuamini?
Wewe ndiye huwajui kabisa ccm! Zanzibar waligwaya Kamando alipotaka kubadilisha katiba aendelee. Jahazi likaokolewa na baba wa taifa.Huwajui ccm wewe
Mbona tupo pamoja mkuu, au hukuelewa nilichoandika hapo?Hata nawe Kalamu1 hujui mbinu za madikteta? Kama ni kujibu angemjibu Ndugai. Badala yake Ndugai kapita bila kupingwa. Msema tawire namba moja...
Atatengua mengi sana ya jiwe kama biden anavyofanyaHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?