Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Hahaaaa
 
Aisee
 
Nawe kwa kumfagilia Mkwere mwenzako hujambo,nadhani kwako hakuna moja baya kwa Jakaya.
 
Akiondoka Magu,magaidi watakuja nchini kwa kasi kubwa.
Business as usual itarejea.
Kina Faiza,Ritz,Bigshow watakuja tena jf kwa kasi kubwa
 
Mi ninachojua huyu jamaa harudi kamwe akimaliza muhula wake...
Umekijuaje na umekijulia wapi? Eleza tutakueleza nasi pia. Jiulize anapendwa kama Nyerere? Ana maadui wangapi nchini tena aliotengeneza mwenyewe?
 
Daaa Mkuu usilize watu.
 
Wewe umesikia wapi kuwa atastaafu? Huyo atafia madarakani.
 
Uchumi utaimarika kwa kuwa watu watamiliki uchumi.

Kwanza nani kakuambia Rushwa/Ufisadi umepungua? Suala la Ufisadi au Rushwa kwa awamu hii inategemea umetokea mkoa gani na una itikadi ya chama gani!
 
Uchumi utaimarika kwa kuwa watu watamiliki uchumi.

Kwanza nani kakuambia Rushwa/Ufisadi umepungua? Suala la Ufisadi au Rushwa kwa awamu hii inategemea umetokea mkoa gani na una itikadi ya chama gani!
Hata Kama ipo imepungua mno
 
Hata Kama ipo imepungua mno
Wala haijapungua, ila unaweza kusema imepungua kwa sababu mfumo wa serikali hii ni tofauti na zamani.
Sasa hivi huoni au husomi tena zile habari za uchunguzi kuhusu Rushwa au Ufisadi, sasa hivi anayeweza kusema habari za Ufisadi ni Rais na kwa uchache sana Waziri Mkuu au Makamu wa Rais.

Hukuti habari za Rushwa kwenye vyombo vya habari, ila ukweli Rushwa ipo sana.
 
Enzi hizo tukisoma miaka ya sabini tulikaririshwa kwamba Nyerere akija kuacha urais nchi itakumbwa na vita ni hatari.

Fikra za kipumbavu kama hizi hufagiliwa na watu wenye akili finyu za waabudu sanamu kwamba mtu fulani kwao ndio Mungu.

Hata wachina zamani wakati wa utawala wa kidikteta wa Mao Zedong waliokaririshwa hivyo hivyo.

However, no one is indispensable anywhere. Magufuli will go and Tanzania will flourish.
 
5.Raisi atarudi magogoni na serikali yote itarudi posta mpya kama zamani,na yale majengo ya mji wa serikali yatageuzwa historical sites
 
HALI ITAKUWA NGUMU SANA. MAANA INABIDI TUANZE KUJENGA UPYA UMOJA, UPENDANO NA MSHIKAMANO WA KITAIFA. NA WATU WENGI WATAKUWA WAMEACHIWA MAJERAHA MENGI SANA AMBAYO KUYAPONYA NI KAZI KUBWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…