Nini kitatokea endapo Magufuli atajiongezea muda wa kukaa madarakani?

Nini kitatokea endapo Magufuli atajiongezea muda wa kukaa madarakani?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.

Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?

Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.

Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.

Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?

Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?

Update
Jamani mmesikia majibu , spika kwa Mh Ally? Someni , hii thread muone kunawatu Mungu anatufunulia yasio onekana.

Leo ni 20.08.2020
 
Mabalaa katika nchi za Africa huanzia hapo maana ikitokea akawa amefanya makosa katika kuongeza kipindi chake ataamua kuwa wa maisha .Ndipo yatatokea Yale ya Sudani, Misri nk
 
Kagame style, hakuna ajuaye kesho na hakuna anayejua mwenzie anawaza nini, huko tuendako si salama sana kwani wenye njaa ni wengi,kuliko wachache wanaokula na kusaza kwa jasho la wenye njaa, hakutakuwa na cha kupoteza
 
Magufuli sio mroho wa madaraka Kama unavyojaribu kutuaminisha
Ovaa
 
Wana macho lkn hawaoni, huyu ni wiki moja tu alikuwa ikulu akipepewa viyoyozi leo ananyea debe.

IMG_20190421_174528.jpg
 
Kwa Tanzania naona kama ni vigumu sana kuja na hii hoja
 
Uchumi Utakua kwa asilimia 0%tutafikia Zimbabwe mpaka Leo Hawana currency wanatumia bond ya Zim dollar mpaka raha.
 
Magufuli anajifanya kipofu imani yake inamdanganya kuwa anawezatoboa kwa mawazo yake ya kishamba.hajaona ubabe wa mugabe ulipowafikisha wazimbabwe hadi sasa
 
Back
Top Bottom