Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
Sina tatizo ila nakueleza kua bado dozi ipo ..usisahau kumezaTatizo lako ni lipi haswa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina tatizo ila nakueleza kua bado dozi ipo ..usisahau kumezaTatizo lako ni lipi haswa?
"Kesho ni mbali sana. Hakunaaijuaye"Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.
Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?
Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.
Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.
Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?
Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Unasema?Kwa Tanzania naona kama ni vigumu sana kuja na hii hoja
Mugabe, Albashir, Gaddafi, Mubarak hawa wote walikuwa makamanda wa kijeshi sembuse yeye!Magufuli anajifanya kipofu imani yake inamdanganya kuwa anawezatoboa kwa mawazo yake ya kishamba.hajaona ubabe wa mugabe ulipowafikisha wazimbabwe hadi sasa
Majibu haya hapa..Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.
Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?
Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.
Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.
Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?
Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Update
Jamani mmesikia majibu , spika kwa Mh Ally? Someni , hii thread muone kunawatu Mungu anatufunulia yasio onekana.
Leo ni 20.08.2020
Hamuwezi kumfanya chochote wtz waoga sanaMabalaa katika nchi za Africa huanzia hapo maana ikitokea akawa amefanya makosa katika kuongeza kipindi chake ataamua kuwa wa maisha .Ndipo yatatokea Yale ya Sudani, Misri nk
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ikitikea hivyo jua wale IS walioko Mozambique wanaweza kupata kisingizio cha kupanua shughuri zao mpaka hapo Dar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ikitokea hivyo jua wale IS walioko Mozambique wanaweza kupata kisingizio cha kupanua shughuri zao mpaka hapo Dar
Hakika ni "Mbali sana""Kesho ni mbali sana. Hakunaaijuaye"
It is a projectSasa hivi swali gumu ni """Nini kitatokea endapo Mbowe atagoma kuachia uenyekiti?""""